Rhumba Lyrics
My love, I want you
My love, I need you
Every time, I see you (Inadi club)
Every time, I see you
(You light it up!)
Naomba nafasi mi nicheze na we
Njoo karibu, usinicheki toka mbali
Hatujuani, but tonight you could be my bae
Songa nami, hii form imekubali
Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako, ana kwa ana
Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako, ana kwa ana
Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Tutacheza hata kama hatuna pesa
Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Hatujui kama tutaonana tena
Napenda unavyong'aa kama taa, hapa we ndio star
You've got me feeling things that I can't explain
Tu vitu, Ma vitu
I think I'm falling for you just a little
Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako, ana kwa ana
Hata kama ni mara ya kwanza sisi kuonana
Usiogope nipe macho yako, ana kwa ana
Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Tutacheza hata kama hatuna pesa
Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Hatujui kama tutaonana tena
Vunja mifupa, kaza mshipi na tuzikwende
Tukizunguka, kaende, kaende
Teremka, kata kiuno jionyeshe
Inuka, Inuka
Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Tutacheza hata kama hatuna pesa
Ngoma zalia na mi nataka kucheza
Kucha kutwa, nishazoea kesha
Sakata Rhumba, achilia pressure
Hatujui kama tutaonana tena
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Rhumba (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
WANAVOKALI
Kenya
Wanavokali is a group of six young Kenyan musicians Chep, Lena, Mella, Riki, Sam, and Ythera. They&n ...
YOU MAY ALSO LIKE