Home Search Countries Albums

Yesu Nataka Kusema Nawe

TUMAINI MBEMBELA

Yesu Nataka Kusema Nawe Lyrics


Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Nisikie 

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Hodi eeh Yesu, nataka kusema nawe
Naomba nifungulie, nataka kusema nawe
Naomba nisikilize, nataka kusema nawe
Nataka kusema nawe, Rabi
Nataka kusema nawe, Shammah
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Wewe ni tofauti na wanadamu
Wewe uko tofauti sana na wanadamu
Wanadamu nikisema nao, kesho watanigeuka
Wanadamu nikisema nao, kesho watanizunguka

Nataka kusema nawe, wewe wee Yesu
Nataka nikuambie baba
Wewe huna kifua cha kutunza siri yangu
Wewe ni mwaminifu
Wewe una majibu, ya maswali yangu
Wewe una majibuu...

Nataka niseme nawe, kwa habari yangu
Nataka niseme nawe, kwa habari ya kanisa 
Nataka niseme nawe, kwa habari ya nchi yangu
Nataka kusema nawe, wewe msikivu
Nataka kusema nawe, wewe mnyenyekevu
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Wewe Mungu unanijua, toka kuzaliwa kwangu
Haja yangu unaijua, naomba ukaniguse
Gusa maisha maisha yangu
Gusa maisha huduma yangu
Nifute machozi eeh Yesu

Mbele yangu nawaleta, mbali mbali
Wengine ni wagonjwa, naomba ukawaponye
Hawana baba wala mama, wewe ni baba yao
Naomba ukawalee... hee

Wengine ni wajane, wewe ni mume wao
Naomba ukawalee
Natamani nchi yangu, kuona amani inatawala
Kila siku ni burudani, hakuna mabomu
Hakuna vilio, siku zote ni amani
Tawala viongozi wetu, bila wewe hawawezi
Hekima yako itawale, katika maisha yao

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu

Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)
Nataka kusema nawe(Nawee nawee)
Nataka kusema nawe(Na wewe Yesu)

Wewe, nakutegemea 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Yesu Nataka Kusema Nawe (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

TUMAINI MBEMBELA

Tanzania

Tumaini Mbembela is a gospel artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE