Home Search Countries Albums

Cheza Lyrics


[CHORUS 1] 
Cheza na hiyo kitu na unajuwa ni ya jana 
Cheza na hizo mbichwa macho coloured yaani nyanya
Cheza biz ya doh unajuwa hatuwezi kosana 
Wanacheza tu below kazi ni kusoma rada. 
Cheza na hiyo kitu na unajuwa ni ya jana 
Cheza na hizo mbichwa macho coloured yaani nyanya
Cheza biz ya doh unajuwa hatuwezi kosana 
Wanacheza tu below kazi ni kusoma rada. 

[VERSE 1]
Ni yule kijana mmoja gaidi Sana sana tena zaidi 
Mi nakazana kisha miti
Na nikifika bei naskia fiti
Naipigia kwenye bed kisha juu ya kiti 
Shhh ndani ya kitu shhh juu ya titi
Change position ni kama unapiga deki
Na ukule hiyo haga ni ka unakula keki
Na ukuwe rada jo juu unaeza bleki
Kiki  Kiki do you Love me? 
Apantambua hizo jo mi si mlami
Hotter dan de sun fika basi jo Miami 
Ubaya na majuu huwezi pata jo majani 
Kunitoa base ni kunipa mtihani
Tuende mtaa babe nikupe mti hunnie
Nakushika koo unaeza dhani mi sijali 

[CHORUS 2] 
Cheza na hiyo kitu na unajuwa ni ya jana 
Cheza na hizo mbichwa macho coloured yaani nyanya
Cheza biz ya doh unajuwa hatuwezi kosana 
Wanacheza tu below kazi ni kusoma rada. 
Cheza na hiyo kitu na unajuwa ni ya jana 
Cheza na hizo mbichwa macho coloured yaani nyanya
Cheza biz ya doh unajuwa hatuwezi kosana 
Wanacheza tu below kazi ni kusoma rada. 

[VERSE 2]
Wakinicheki wanatii wanajuwa mi ni ordinare 
Dem yako nyati na akingoa ni vibare 
Odi odi Kawangware vijana sugu namba nane
Wakisha kitu Brejin leta nare
Na madem wainame 
Injection ya sare 
Funga bao kama nane
Na wapige nduru nimewageuza manugu
Na tukimunju wanageuka ma bubu 
Amepiga magoti unaeza dhani anaabudu 
Anadai nimwage ndani njugu njugu 
Ni kijana wa kambi flani Jamhuri
Si wa leo si wa jana wala jo si wa juzi

[CHORUS 3] 
Cheza na hiyo kitu na unajuwa ni ya jana 
Cheza na hizo mbichwa macho coloured yaani nyanya
Cheza biz ya doh unajuwa hatuwezi kosana 
Wanacheza tu below kazi ni kusoma rada. 
Cheza na hiyo kitu na unajuwa ni ya jana 
Cheza na hizo mbichwa macho coloured yaani nyanya
Cheza biz ya doh unajuwa hatuwezi kosana 
Wanacheza tu below kazi ni kusoma rada. 

[VERSE 3]
Songa na idhaa Bussa J na Mkala 
Wakuu family hao sasa ndio wakanda 
Shuka na madam mjulubeng ukiwa 
Zimenishika zimenishika manze jo nina dawa
Si ati juu nina bars unibebe mi mlevi 
Mi rada na ma shash macho nyanya kuliko pedi
Napendanga ile safi nikipiga nina medi 
Na story za wasafi tulirudisha Tizedi 
Before this fame nimesumbuliwa na ma mbanga 
Na kama si fame story ingekuwa ya madaga 
I find this lame kuhudumiwa na mganga
Machungu so lime bora Jah ananipendanga 
Shout to my Mama juwa milele Nakupenda 
Shout out to the months zile zote umenibeba 
Shout out to the ladies wale wote nimekemba
Shout to my wifey she's the last body bender. 

[CHORUS 4] 
Cheza na hiyo kitu na unajuwa ni ya jana 
Cheza na hizo mbichwa macho coloured yaani nyanya
Cheza biz ya doh unajuwa hatuwezi kosana 
Wanacheza tu below kazi ni kusoma rada. 
Cheza na hiyo kitu na unajuwa ni ya jana 
Cheza na hizo mbichwa macho coloured yaani nyanya
Cheza biz ya doh unajuwa hatuwezi kosana 
Wanacheza tu below kazi ni kusoma rada. 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Cheza (Single)


Added By : Olivier charly

SEE ALSO

AUTHOR

THEONLYDELO

Kenya

...

YOU MAY ALSO LIKE