Home Search Countries Albums

Tuambie

MIKKA

Tuambie Lyrics


Ona sasa vile wanatuchanganya
Wanasema ati kazi kwa vijana
Lakini bado hizi kazi hatujapata
Waliyo ahidi hawajafanya
Na kwa habari wajigamba
Lakini jua pia sisi ni wajanja
Tunaona yote ila twanyamaza
Twaachia maulana
 
Tuambie
Jeh twasonga mbele au twarudi nyuma
Tujenge nchi yetu iwe bora
Au bado turidhike na madrama
Tuambie
Ni siku gani tutaishi na salama
Hadi lini tutanyimana baraka
Au bado mikono mtazikaza
Tuambie
 
Kura zikikaribia twapatana
Siku zingine ofisi hamtakanyaga
Mteja wanambari hautawahi mpata
Ni rahisi kusahau jana
Jeh bila sisi hizi cheo mgepata?
Pia sisi tunaomba kujipanga
Tufurahie kila mtu madaraka
Na Kesho yetu tuachie maulana
 
Tuambie
Jeh twasonga mbele au twarudi nyuma
Tujenge nchi yetu iwe bora
Au bado turidhike na madrama
Tuambie
Ni siku gani tutaishi na salama
Hadi lini tutanyimana baraka
Au bado mikono mtazikaza
Tuambie
Jeh twasonga mbele au twarudi nyuma
Tujenge nchi yetu iwe bora
Au bado turidhike na madrama
Tuambie
Ni siku gani tutaishi na salama
Hadi lini tutanyimana baraka
Au bado mikono mtazikaza Tuambie
Tuambie, tuambie, tuambie

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Tuambie (Single)


Added By : Mikka

SEE ALSO

AUTHOR

MIKKA

Kenya

Mikka is a musician from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE