Usinipangie Lyrics
Bando langu
Simu yangu
Sa kwa nini unipangie cha kupost
Siku follow
Unanifollow
Kwenye page yangu, una comment matusii
Kama pesa si ni pesa zangu
Kama shida niache na shida zangu aah
Kama mpenzi
Ni chaguo langu
Inakuhusu nini niache na maisha yangu eeh
Namtekenya
Namshika kwenye mbavu
Namtekenya
Namshika kwenye mbavu
Namtekenya
Namshika kwenye mbavu
Namtekenya
Namshika kwenye mbavu
Tumbo langu
Njaa yangu
Sa kwa nini unipangie chakula
Kiu yangu
Koo langu
Inakua vipi unipangie cha kunywa
Unanijua kuliko ninavyojijua
Una story zangu ambazo sizijuiii
Eti hunipendi
Kwani wewe mungu
Em toka hapa
Namtekenya
Namshika kwenye mbavu
Namtekenya
Namshika kwenye mbavu
Namtekenya
Namshika kwenye mbavu
Namtekenya
Namshika kwenye mbavu
Namtekenya
Namshika kwenye mbavu
Namtekenya
Namshika kwenye mbavu
Namtekenya
Namshika kwenye mbavu
Namtekenya
Namshika kwenye mbavu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2023
Album : Usinipangie (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
THEE PLUTO
Kenya
Thee Pluto is an artist/social media infuencer and a brand ambassador from Kenya signed under S ...
YOU MAY ALSO LIKE