Accueil Recherche Pays Albums

Nina Haja na Wewe

SIFAELI MWABUKA

Nina Haja na Wewe Lyrics


Ni wengi wameniandama kila kona usiku na mchana 
Baba peke yangu mimi sitoweza
Mitego wameiweka kwenye njia zangu Yesu
Baba peke yangu mimi sitoweza

Ni wengi wameniandama kila kona usiku na mchana 
Baba peke yangu mimi sitoweza
Mitego wameiweka kwenye njia zangu Yesu
Baba peke yangu mimi sitoweza

Wengine ni wa karibu yangu
Eeh baba unisaidie 
Wengine ni wa nyumbani mwangu
We baba unisaidie 

Wengine ni wa karibu yangu
Eeh baba unisaidie 
Wengine ni wa nyumbani mwangu
We baba unisaidie 

Vita si vyangu ni vyako baba pigana nao
Peke yangu mimi sitoweza
Watesi wangu baba wawe watesi wako shindana nao
Peke yangu mimi sitoweza

Nina haja nawe, ndio maana niko hapa
Nina haja nawe, ndio maana niko hapa
Nina haja nawe, ndio maana niko hapa
Nina haja nawe, ndio maana niko hapa

Nina haja nawe, ndio maana niko hapa
Nina haja nawe, ndio maana niko hapa
Nina haja nawe, ndio maana niko hapa
Nina haja nawe, ndio maana niko hapa

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Nina Haja na Wewe (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

SIFAELI MWABUKA

Tanzanie

Sifaeli Mwabuka  est un artiste tanzanien de musique Gospel. ...

YOU MAY ALSO LIKE