Accueil Recherche Pays Albums

Bonge la Toto

SHETTA

Bonge la Toto Lyrics


Okey uh, toto shape toto guu guu
Kila unapopita watu macho juu juu
Baby ka umebeba kichuguu
Alafu chuchu ndogo kama vichuguu

Haha, enjoy kuwa na mimi ma
Mwili wako nifunike na madini ma
Safari ya angani na majini ma
Mi ndio king we ndio queen ma

Have it baby pie, my baby bi millionare
Vikao vyangu mawaziri na ma mayor
Zinaletwa ndoa mmezifill ma Bellaire
Matumizi bei juu na bill tunagombea 

Shoga zako unawatesa
Hawapendi kukuona na Shetta
Tunavyozitumia pesa
Enjoy baby wala wasikupe pressure

Okey, bonge la toto mama
Wanipa vyote we ni bonge la toto mama
Chii, bonge la toto mama
Nakupenda zaidi, we ni bonge la toto mama

Mami mi ni billionaire
Nifilisi hadi nirudi kwenye u millionaire
Tafuta ki ben 10 ukihonge
Ila nikikifuma aisee kisiombe

Jua nakuzimia ma
Nataka tuzunguke hii dunia ma
Pesa kuzitumia ma
Tusisahau Serengeti Tanzania ma

Tukacheki nyati na swara
Pesa nyingi baby wala sipati hasara
Ikibidi ita na wenzako
Maana huwezi kumaliza peke yako

Shoga zako unawatesa
Hawapendi kukuona na Shetta
Tunavyozitumia pesa
Enjoy baby wala wasikupe pressure

Okey, bonge la toto mama
Wanipa vyote we ni bonge la toto mama
Chii, bonge la toto mama
Nakupenda zaidi, we ni bonge la toto mama

Bonge la toto mama
We ni bonge la toto mama
Bonge la toto mama
We ni bonge la toto mama

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Bonge la Toto (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

SHETTA

Tanzanie

SHETTA, de son vrai nom, Nurdin Bilal Ali le 16 juillet 1990 à Dar es-Salaam, est un artiste ...

YOU MAY ALSO LIKE