Accueil Recherche Pays Albums

Ya Dunia

SERRO

Ya Dunia Lyrics


Hayeye!
Nimesota, sina wera, juzi nilikopa nilipe mama mboga
Hawajui, hawata amini, juu mi ni mwana mziki na mambo yangu iko fiti
Na huko instagrama, wanadhani nimeosa
Sababu waliona nikikula na Obama

Wengi ni mastar kwa vile wanavyo vaa
Lakini utashangaa, vile wanavyokaa
Wengi hujifanya mambo yao yako sawa
Lakini utashangaa, ni mengi haya ya dunia

Hayeye!
Chakula githeri chemsha na avocado
Na nina deni ya soo mbili ya mama Wambo,
Sasa nasaka fare anagalau nifike show.
Lakini jana si nilikua kwa TV, na juzi pia nilikua kwa gazeti,
Mambo yangu yanafaa kua fiti
Huko instagrama, wanadhani niko poa
Sababu waliona, ile poster ya Koroga

Wengi ni mastar kwa vile wanavyo vaa
Lakini utashangaa, vile wanavyokaa
Wengi hujifanya mambo yao yako sawa
Lakini utashangaa, ni mengi haya ya dunia

Sio yote yang’aayo ni dhahabu,
Watu huficha masaibu kwa tabasamu
Basi sote tuwe wakarimu
Sababu yote yang’aayo si dhahabu

Wengi ni mastar kwa vile wanavyo vaa
Lakini utashangaa, vile wanavyokaa
Wengi hujifanya mambo yao yako sawa
Lakini utashangaa, ni mengi haya ya dunia

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Ya Dunia (Single)


Copyright : All rights to the owner.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

SERRO

Kenya

Serro de son vrai nom Serro Hulda est un artiste, auteur-compositeur et interprète basé ...

YOU MAY ALSO LIKE