Accueil Recherche Pays Albums

Sitaki Tena

SARAPHINA

Sitaki Tena Lyrics


Nitachowaambia msiache kumwambia na yeye
Simchukii na na najipa mweyewe oh no
Oh baby sijutiii kuwa mbali naye
Apunguze presha
Mwambieni sililii 
Penzi lake nilishalihimisha

Hazijabaki memory wala kumbukumbu
Nilishamsahau mazima
Hata nikimwona namwona ka nungu nungu
Sio kama namvunjia heshima 
Makombe amalize ajifushe na nyungu
Akakoge na maji ya kisima
Ila mimi nilisha apa kwa mwenyezi Mungu
Haitojirudia tena

Sitaki tena, tena mwambieni asinisumbue mimi
Sitaki tena, nipo buheri na nafsi yangu
Sitaki tena, abaki na zake nibaki na zangu
Sitaki tena, nipo buheri na nafsi yangu

Dua zake mbaya kwangu nifeli nilipo sasa anajua
Najua likiwa ka kiza kikitanda ananiwaza ananijua
Mwambieni asihangaike na mipasho moyo wake mimi naujua
Sitaki kumdhalilisha nikataja na siri zake nikaamuumbua

Hazijabaki memory wala kumbukumbu
Nilishamsahau mazima
Hata nikimwona namwona ka nungu nungu
Sio kama namvunjia heshima 
Makombe amalize ajifushe na nyungu
Akakoge na maji ya kisima
Ila mimi nilisha apa kwa mwenyezi Mungu
Haitojirudia daima

Sitaki tena, tena mwambieni asinisumbue mimi
Sitaki tena, nipo buheri na nafsi yangu
Sitaki tena, abaki na zake nibaki na zangu
Sitaki tena, nipo buheri na nafsi yangu

Mwambieni sijutiii kuwa mbali naye
Apunguze presha
Mwambieni sililii 
Penzi lake nilishalihimisha

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Sitaki Tena (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

SARAPHINA

Tanzanie

Saraphina Michael est une artiste tanzanienne. ...

YOU MAY ALSO LIKE