Accueil Recherche Pays Albums

Nakuthamini

SANAIPEI TANDE

Nakuthamini Lyrics


Nimesubiri siku hii
Nikuonyeshe jinsi mimi 
Navyokupenda aah
Baby nakuthamini

Nimesubiri siku hii
Nikuonyeshe jinsi mimi 
Navyokupenda aah
Baby nakuthamini

Aah eeh....

Nipo magotini dua nalipiga kwetu ajili
Nianzapo safari, mguu wa bi flani
Nisiwe wa mazoea, wa kukudhania
Siku zote nikufae kukupa heshima

Kwa wale wanisindikizao msilie, msilie
Hamnipotezi mwanao twaja wawili, double double
Na kwa zile fadhila walizonifunza
Mie nitakufunza

Nimeisubiri siku hii (Subira subira subira)
Nikuonyeshe jinsi mimi (Jinsi jinsi jinsi mi)
Navyokupenda aah (Nakupenda)
Baby nakuthamini

Nimeisubiri siku hii (Subira subira subira)
Nikuonyeshe jinsi mimi (Jinsi jinsi jinsi mi)
Navyokupenda aah (Nakupenda)
Baby nakuthamini

Jukumu la kukutumikia napokea
Bidii nitakutilia ahadi mi nakupatia
Na kwako tabasamu itakuwa ajira
Kwa kila awamu nitakuhakikishia

Kwa wale wanisindikizao wajue, wanalijua
Hawakupotezi mwanao twaja wawili, double double
Na kwa zile fadhila nilizofunzwa
Mie nitawatunza

Nimeisubiri siku hii (Subira subira)
Nikuonyeshe jinsi mimi (Jinsi mi, jinsi mi, jinsi mi)
Navyokupenda aah (Nakupenda aah)
Baby nakuthamini

Nimeisubiri siku hii (Subira subira)
Nikuonyeshe jinsi mimi (Jinsi mi, jinsi mi, jinsi mi)
Navyokupenda aah (Nakupenda aah)
Baby nakuthamini

Jamani leo ni leo
NI leo, ayeee

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Nabo (EP)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

SANAIPEI TANDE

Kenya

Natasha Sanaipei Tande, plus connu comme Sanaipei Tande ou simplement Sana, est une chanteuse, auteu ...

YOU MAY ALSO LIKE