Kunitema Lyrics

Mapenzi kunipofua kiziwi mi kanifanya
Amini kugombana ni kawaida
Nyumbani wanakazana, ndivyo inavyotakikana
Subutu aibu na laaana
Nimekaa aaah
Toneshwa kidonda machozi kulowa usiku kucha
Nimekaa aaah
Huzuni moyoni pa kwenda sioni ila hakomi
Miye miye miye
Sikutaki tena my lover oh na na na
Nami sikulilii tena my lover oh na na
Wala sikuwazi tena my lover oh na na na
Ila kwako nasema asante sana kunitema
My lover oh nanana mmmh
Oh nanana mmmh
Oh nanana asante sana kunitema
My lover oh nanana mmmh
Oh nanana mmmh
Oh nanana asante sana kunitema
Akufukuzaye haneni ondoka
Kukusinya ukachoka
Chunga utu kukutoka
Nimekaa aaah
Toneshwa kidonda machozi kulowa usiku kucha
Nimekaa aaah
Huzuni moyoni pa kwenda sioni ila hakomi
Wacha wacha waseme nina umang'aa
Wacha wacha waseme bora furaha
Wacha wacha waseme maziwa lala
Wacha wacha waseme bora furaha
Sikutaki tena my lover oh na na na
Nami sikulilii tena my lover oh na na
Wala sikuwazi tena my lover oh na na na
Ila kwako nasema asante sana kunitema
My lover oh nanana mmmh
Oh nanana mmmh
Oh nanana asante sana kunitema
My lover oh nanana mmmh
Oh nanana mmmh
Oh nanana asante sana kunitema
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Kunitema (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
SANAIPEI TANDE
Kenya
Natasha Sanaipei Tande, better known as Sanaipei Tande or simply Sana, is a Kenyan singer, songwrite ...
YOU MAY ALSO LIKE