Home Search Countries Albums

Kunitema

SANAIPEI TANDE

Kunitema Lyrics


Mapenzi kunipofua kiziwi mi kanifanya
Amini kugombana ni kawaida
Nyumbani wanakazana, ndivyo inavyotakikana
Subutu aibu na laaana

Nimekaa aaah 
Toneshwa kidonda machozi kulowa usiku kucha
Nimekaa aaah 
Huzuni moyoni pa kwenda sioni ila hakomi

Miye miye miye
Sikutaki tena my lover oh na na na
Nami sikulilii tena my lover oh na na 
Wala sikuwazi tena my lover oh na na na
Ila kwako nasema asante sana kunitema

My lover oh nanana mmmh
Oh nanana mmmh
Oh nanana asante sana kunitema

My lover oh nanana mmmh
Oh nanana mmmh
Oh nanana asante sana kunitema

Akufukuzaye haneni ondoka
Kukusinya ukachoka
Chunga utu kukutoka

Nimekaa aaah 
Toneshwa kidonda machozi kulowa usiku kucha
Nimekaa aaah 
Huzuni moyoni pa kwenda sioni ila hakomi

Wacha wacha waseme nina umang'aa
Wacha wacha waseme bora furaha
Wacha wacha waseme maziwa lala
Wacha wacha waseme bora furaha

Sikutaki tena my lover oh na na na
Nami sikulilii tena my lover oh na na 
Wala sikuwazi tena my lover oh na na na
Ila kwako nasema asante sana kunitema

My lover oh nanana mmmh
Oh nanana mmmh
Oh nanana asante sana kunitema

My lover oh nanana mmmh
Oh nanana mmmh
Oh nanana asante sana kunitema

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Kunitema (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

SANAIPEI TANDE

Kenya

Natasha Sanaipei Tande, better known as Sanaipei Tande or simply Sana, is a Kenyan singer, songwrite ...

YOU MAY ALSO LIKE