Accueil Recherche Pays Albums

Navumilia

RICH MAVOKO

Navumilia Lyrics


[VERSE 1]
Japo moyo haujasema
Kama penzi lako kwangu sinema
Nikakuvisha pete chanda chema
Mi nilitukutunza hukuwa mwema
Mapenzi sio ubavuu
Useme nilazimishe
Tatizo upendo unaniumiza mimi oh macho
Yanakuona unaniumiza mimi ohh macho

[CHORUS]
Yote navumiliaa
Umenipa nini nakupenda sana
(Navumiliaaa)
Unajua umelewa unanitukanaaa
(Mengi navumilia)
Tukibishana hutaki kugombana
(Navumiliaaa)

Ila yote baby
(Huooni tu)
Wamauteka moyo wangu
(Huooni tu)
Wakatili hisia zanguu
(Huooni tu)
Kunidhalili mbile ya wenzanguu
(Huooni tu)

Mi mnyongee vizuri unajua udhaifu wangu
Chochote nikuhonge ili uitunze aibu yangu
Ushajua nabaki nabaki mazima
Hata niwena haki kosa kwangu we huna
Ndiioo maana najitahidii ifike siku ubadilike
Usipende vya zaidi
Nikupe kidogo tu uridhike
Ukiacha pengo kitabaki nini, mi wakoo
Nimeshikama kali ninevuta mpini, msiba wakoo

Yote navumiliaa
Umenipa nini nakupenda sana
(Navumiliaa)
Unajua umelewa umelewa unanitukanaa
(Mengi  Navumiliaa)
Tu kibishana hutaki kugombana
(Navumiliaa)

Ila yote kaby
(Huooni tu)
Wamauteka moyo wangu
(Huooni tu)
Wakatili hisia zangu
(Huooni tu)
Kunidhalili mbele ya wenzanguu
(Huooni tu)

Mtoto mtamu chuchu
(Nitakunis wewe)
Kasauti kama kasuku nitakumis wewe
Sijekuhangwa ruzuku
(Nitakumis wewe)
Kaja niacha kapuku
(Nitakumis wewe)

 

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2018


Album : Navumilia (Single)


Added By : Afrika Lyrics

SEE ALSO

AUTHOR

RICH MAVOKO

Tanzanie

RICH MAVOKO  est un artiste tanzanien de musique urbaine. ...

YOU MAY ALSO LIKE