Accueil Recherche Pays Albums

Vumilia

RAYVANNY

Vumilia Lyrics


(Its Bob Manecky)

Niwe kibatari 
Ama mwanga wa mshumaa
Kwenye kigiza cha jioni 

Nikagonga ngangari
Tulishushie na dagaa
Ukishatoka sokoni

Kisha tufunge safari
Itayochukua masaa
Utokwe jasho mgongoni

Na venye nina machachari
Nikikushika kibaa
Utamu hadi kinondoni

Kuna muda nawaza, hivi nitakupa nini?
Sina mbele sina nyuma masikini
Chakula shida na tunalala chini, niambie

Mmh, wenye mapesa vogi na ma-Lamborghini
Wasije fanya ukanipiga chini
Bado nawaza hivi nitakupa nini, utulie

Sambusa, kachori, pamia eh(Aaah)
Tukipata pesa ni sangara
Mchicha, mtori, pamia eh(Aaah)
Kama tukikosa tunalala

Kwa hiyo mama usijali
Vumilia, iyee, vumilia
Iye iye vumilia
Kesho tutapata mapenzi

Vumilia, vumilia 
Vumilia, vumilia
Vumilia kesho 
Tutapata mapenzi

Najua unatamani high waist, make up
Weaving za Dubai na China
Ule pamba nyepesi setaa
Chain ya dhahabu yenye jina

Oooooh, basi mama vumilia
Nakupigania mpenzi subiria
Oooooh, acha kujiinamia
Punguza kulia atatusaidia

Ati mapenzi si moyo, mapenzi ni pesa
Kama kweli masikini yatatutesa
Uchoyo, usinipe pressure 
Naomba unipende 

Kuna muda nawaza, hivi nitakupa nini?
Sina mbele sina nyuma masikini
Chakula shida na tunalala chini, niambie

Mmh, wenye mapesa vogi na ma-Lamborghini
Wasije fanya ukanipiga chini
Bado nawaza hivi nitakupa nini, utulie

Sambusa, kachori, pamia eh(Aaah)
Tukipata pesa ni sangara
Mchicha, mtori, pamia eh(Aaah)
Kama tukikosa tunalala

Kwa hiyo mama usijali
Vumilia, iyee, vumilia
Iye iye vumilia
Kesho tutapata mapenzi

Vumilia, vumilia 
Vumilia, vumilia
Vumilia kesho 
Tutapata mapenzi

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Flowers/Vumilia (Album)


Copyright : (c) 2020 Wasafi Records.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RAYVANNY

Tanzanie

Raymond Shaban Mwakyusa (né le 22 août 1993), mieux connu sous son nom de scène ...

YOU MAY ALSO LIKE