Home Search Countries Albums

Naogopa

RAYVANNY

Naogopa Lyrics


Mapenzi chenga 
Yakikupiga unasurrender
Na wengi wakipendwa 
Wanasahau kuna kutendwa

Mapenzi chenga 
Yakikupiga unasurrender
Na wengi wakipendwa 
Wanasahau kuna kutendwa

Wapi mkandarasi wa moyo
Wa ukuta wa mapenzi unadondoka
Kinacho ponza wengi ni moyo
Wakikalia kuti kavu wanadondoka

Unajisifu umempata
Kumbe alo mwacha anamfata
Anachotaka anakipata 
Wanasema hawara hana talaka


Naogopa(naogopa)naogopa(naogopa) naogopa(naogopa)
Kwenye safari ya mapenzi mi nisiyasikee
Naogopa(naogopa)naogopa(naogopa)naogopa(naogopa)
Tena tochi ya mapenzi isinimulike

Nimeyaona bayana 
Ndo maana sitaki kukumbuka ya jana
Alivyonidanganya 
Moyo wangu ukapiga danadana

nimeyaona bayana 
ndo maana sitaki kukumbuka ya jana
alivyonidanganya 
moyo wangu ukapiga danadana

Kwani nini za mapendo
Ili yakaniteka mapenzi
Tena nilimweka moyoni 
Ila akaniona mshenzi

Unaweza sema pesa ndiyo breki
Ila mapenzi hayasomeki
Umemteka kwa mali na cheki
Kumbe vyombo anakula muuza magazeti

Unayemwita bebi 
Anaweza bebwa kama beki
Mapenzi yanabadilika unaweza ukamwita shemeji

Unayemwita bebi 
Anaweza akabebwa kama beki
Mapenzi yanabadilika unaweza ukamwita shemeji

Unajisifu umempata
Kumbe alo wacha anamfata
Anachotaka anakipata 
Wanasema hawara hana talaka

Naogopa(naogopa)naogopa(naogopa) naogopa(naogopa)
Kwenye safari ya mapenzi mi nisiyasikee
Naogopa(naogopa)naogopa(naogopa)naogopa(naogopa)
Tena tochi ya mapenzi isinimulike

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Naogopa (Single)


Copyright : (c) 2019 Wasafi Records.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

RAYVANNY

Tanzania

Raymond Shaban Mwakyusa (born 22 August 1993), better known by his stage name Rayvanny, is a Tanzani ...

YOU MAY ALSO LIKE