Home Search Countries Albums

Sina Neno Lyrics


Zogo, kelele lawama nilizoea
Kila siku anakuja analia
Maneno nasikia

Rafiki zake wanasema
Mimi simfai kwa maisha
Ndugu jamaa wanasakama
Eti mi mhuni kabisa

Hawakujua unanipenda kiasi gani
Wasingedhubutu tenganisha
Sababu kwako kuishi ni mimi
Tukitengana takukosa

Si mi ndo nimekupa heshima
Hivi bado wananiona zero
Samaki bila ndimu mi nitachina
Okoa milinaodhawa yangu roho

Aah sina kinyongo nao
Ah nimewasamehe
Aah matabia zao
Aaah aaah 

Sina neno, moyoni, sina neno
Na makosa yote nimefuta mi nimewasamehe
Sina neno, moyoni, sina neno
Na mabaya yao nimeyafuta mi nimewasamehe

Sikutolewa nyongo nayo
Natamani nijiwekee mipaka
Ila no roho mbaya sina

Wanadamu tunapishana upeo
Ndio maana yote nimeyafuta
Tena hata kinyongo sina

Na wakasema sina lolote
Nitakupa nini
Hatutofika popote

We ukasema 
Mwendo wa chai na mkate
Umenishiba mimi
Wapi naenda nifuate ee

Nimeyabadili maisha yako nikakupa heshima
Hivi bado wananiona zero
Samaki bila ndimu mi nitachina
Okoa milinaodhawa yangu roho

Aah sina kinyongo nao
Ah nimewasamehe
Aah matabia zao
Aaah aaah 

Sina neno, moyoni, sina neno
Na makosa yote nimefuta mi nimewasamehe
Sina neno, moyoni, sina neno
Na mabaya yao nimeyafuta mi nimewasamehe

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Sina Neno (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

TIMBULO

Tanzania

Timbulo is a Bongo Flavour artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE