Home Search Countries Albums

Happy Nation

RAPCHA

Read en Translation

Happy Nation Lyrics


Nimeamka asubuhi bila motivation

Na kichwani nikiwa na so so many questions

Naongea na Baba please show me direction

Kuona hizi hatua inahitaji dedication

Kuna muda tuna pop bottles celebration

Thou tuko very sad kwenye Free Nation

Najikuta naover think kila situation

Ili nitulie ninahitaji meditation

Mitihani ya maisha no preparations

Ubinadamu kazi mwisho kifo haina pension

Maisha movie la kivita tunafia location

Yanakwenda yalivyopangwa no complication

Kuna kitu inaitwa muda haina compensation

Ila ukiwa na imani unaweza pata compensation

Mungu anaweza kurudisha miaka 7 iliyopotea kwenye mwezi mmoja kukiwa na determination

Any questions?

Tunatabasamu usoni ila tuna majonzi moyoni

Tutafika kwenye Happy nation

Happy nation

Tutafika Happy nation soon

Tutafika kwenye Happy nation

Happy nation

Tutafika Happy nation soon

Tutafika kwenye Happy nation

Miaka mingi ninafight for liberation

Bado nina suffer na police oppression

Usipofunga hilo bakuli kwa Intimidation

Kesho yake watakushusha kwenye Happy Nation

Mapenzi matamu zaidi ya mango passion

Wanaopendwa hii kwao sio exagerattion

Raha ya mwanzo italeta expectations

Maumivu fainali muda wa separation

Kila 24 hours nina prayer session

Nina mengi ya kushukuru kila situation

Baby mama kajifungua bila complication

Sauti yangu ina penetrate kila nation

Tunatabasamu usoni ila tuna majonzi moyoni

Tutafika kwenye Happy nation

Happy nation

Tutafika Happy nation soon

Tutafika kwenye Happy nation

Happy nation

Tutafika Happy nation soon

Tutafika kwenye Happy nation

Kazana

Pambana

Amini tutafika

Kazana

Pambana

Amini tutafika

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2025


Album : (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

RAPCHA

Tanzania

Rapcha aka The Last King of 90’s, real name Cosmas Paul Mfoy is a young rapper from Tanza ...

YOU MAY ALSO LIKE