Kongoro Lyrics

Nibebee kwa mgongo gongo
Nipeleke Mombasa Congo
Kwa mauno ya paka chongo
Jikunje samaki kamongo
Zungusha panga boy mpaka ndani inazama
Kunjuka jikunje nipige danadana
Chama la wana limekuchagua we ndo mama
Tunda damu utamu wako unanipa lawama
Kama burger kama pizaa
Nakagongea na viza
Chonga kametumbukiza
Kule mwanga huku giza
Ananivutia mwendo
Nimenogewa na kachumbari
Mingi mitego yaani sebuleni
Mpaka chumbani
Yaani ko ko ko kongoro
Twende ko ko ko kongoro
Nyuma ko ko ko kongoro
Supu ko ko ko kongoro
Ana asili ya kitanga huyo
Akijifunga moja kanga huyo
Na nywele zake za kimanga huyo
Anavolisakata vanga uyo
Kama burger kama pizaa
Nakagongea na viza
Chonga kametumbukiza
Kule mwanga huku giza
Ananivutia mwendo
Nimenogewa na kachumbari
Mingi mitego yaani sebuleni
Mpaka chumbani
Yaani ko ko ko kongoro
Twende ko ko ko kongoro
Nyuma ko ko ko kongoro
Supu ko ko ko kongoro
Ana asili ya kitanga huyo
Akijifunga moja kanga huyo
Na nywele zake za kimanga huyo
Anavolisakata vanga uyo
Yaani ko ko ko kongoro
Twende ko ko ko kongoro
Nyuma ko ko ko kongoro
Supu ko ko ko kongoro
Mama weee, mama wee
Mama weee, mama wee
Manyama masupu masupu tu
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Kongoro
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE