Home Search Countries Albums

Hodari Samia

PETER MSECHU

Hodari Samia Lyrics


Kazi inaendelea, makasi ile ile
Sifa yake mpole mnyenyekevu
Mchapa kazi hodari
Aha mwana mama shupavu 
Mwenye upendo Samia komando

Amepokea kijiti shaka hatuna
Tanzania mpya yaja
Amenia kutuvusha tufike kule
Tunakopatazamia

Kazi inaendelea, kuujenga uchumi wa Tanzania
Makasi ile ile, awamu ya sita hatulali hatupoi
Kazi inaendelea, Mama Samia dereva twakuaminia 
Makasi ile ile, Tanzania tuchape kazi

Mama, rais wetu 
Mama, Mama Samia Suluhu
Mama, Kiongozi wetu 
Yuko hodari imara

Mama, rais wetu 
Mama, Mama Samia Suluhu
Mama, Kiongozi wetu 
Mwenye hekima na busara

Amesema zege halilali
Tuamke tuchape kazi tujenge nchi
Malkia wangu nguvu, Samia
Superwoman, mwanamke jasiri
Anatuhimiza upendo mshikamano, uwajibikaji

Hime waTanzania tuzidishe uzalendo
Tudumishe amani hio ndio nguzo yetu
Serikali ya awamu ya sita imejipanga dhabiti
Kulete maendeleo Tanzania isonge mbele, mbele kwa kasi

Kazi inaendelea, kuujenga uchumi wa Tanzania
Makasi ile ile, awamu ya sita hatulali hatupoi
Kazi inaendelea, Mama Samia dereva twakuaminia 
Makasi ile ile, Tanzania tuchape kazi

Mama, rais wetu 
Mama, Mama Samia Suluhu
Mama, Kiongozi wetu 
Yuko hodari imara

Mama, rais wetu 
Mama, Mama Samia Suluhu
Mama, Kiongozi wetu 
Mwenye hekima na busara

Suluhu, mpango kanyaga twende
Suluhu, mpango kanyaga twende
Suluhu, mpango kanyaga twende
Suluhu, mpango kanyaga twende

Mama, rais wetu 
Mama, Mama Samia Suluhu
Mama, Kiongozi wetu 
Yuko hodari imara

Mama, rais wetu 
Mama, Mama Samia Suluhu
Mama, Kiongozi wetu 
Mwenye hekima na busara

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Hodari Samia (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

PETER MSECHU

Tanzania

Peter Msechu is a Bongo Flava artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE