Home Search Countries Albums

Tamaa

OCTOPIZZO

Tamaa Lyrics


Pizzo De 
You know it, You know it
8 Town, 8 Town, 8 Town, 8 Town
Pizzo De you know it

Nilianza nilianza enzi za ukoo
Lakini bado leo huski bado nang'aa
Mother alihustle sana shule nilimada
Na tulipata kwa chang'aa

Nikiamka mi hushtuka sana
Kwani kuliendaje ndo tukafika hapa
Tulisota tukasota sana
But sikuwahi give up nashukuru Jah Jah

Kuchangisha nilichangisha mama
Nakumbuka pesa zako zile zote za chama
Walikula kila siku nyama 
Si pale kando ni mate tamaa (Njaa njaa..)

Mama natamba 
Nawish ungeona venye siku hizi nang'aa
Tamaa niliacha
Nakula nyama zote zenye nafaa

Mama natamba 
Nawish ungeona venye siku hizi nang'aa
Tamaa niliacha
Nakula nyama zote zenye nafaa

Mbby, nasema mbby 
Mbby, anadai anadai
Na mtoto akililia wembe
Atawai atawai

Nasema mbby, anadai anadai
Na mtoto akililia wembe
Atawai atawai 

Walai mangwai
Siezi lie daily niko high
Sijawai sitawai 
Kuchochwa hapa kule na hype
Napaa nang'aa
Pewa moshi daily shada

Nashangaa mama
Nawish ungekuwa asapa
Ma Gucci na Prada
Ungevaa kila kitu nataka 

Pamba za white
Kabla ukae chini wanawide

Mama natamba 
Nawish ungeona venye siku hizi nang'aa
Tamaa niliacha
Nakula nyama zote zenye nafaa

Mama natamba 
Nawish ungeona venye siku hizi nang'aa
Tamaa niliacha
Nakula nyama zote zenye nafaa

Mama mama mama mama
This is dedicated to all of you
That got successful too late
We got successful too late mama
8 Town the Don

Mama nang'aa 
Nawish ungekuwa asapa
Mama nang'aa 
Nawish ungekuwa asapa

Nane nane nane 
Namba nane nane nane
Pizzo de you know it
(Imeweza)

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Jungle Fever (Album)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

OCTOPIZZO

Kenya

Henry Ohanga, commonly referred to by his stage name Octopizzo is an award winning, recording and pe ...

YOU MAY ALSO LIKE