Home Search Countries Albums

Raha

NANDY

Raha Lyrics


Nawaza ingekuaje kama ningekukosa
Nawaza
Inamaana hizi raha zote ningezikosa
Nawaza
Penzi limenikolea kama mtoto anashindwa tembea
Raha zimenibombea kwa mama nitakusemea
Si wanasemaga penzi bonde na milima nipeleke
Unichonipaga usidiriki kunyinma mi nideke
Penzi limetaradi oya halima acha nicheke
Nilale ama mi nisimame wima

Unanipa raha, nazidi kuwa mdogo mi sikui
Unanipa raha
Nifanye kitafunwa unile
Unanipa raha
Zidi kunifundisha mi sivijui
Unanipa raha
Nianze kukulisha ndo nile
Oh oh oh oh oh oh oh
Oh oh oh oh oh oh oh
Oh oh oh oh oh oh oh

Hadi kucha zinaisha
Nikikuona nazing’ata
Unavyonizubanisha mi napagawa oyani tu
Tuache yote tisa, kumi nakupa limbwata
Unavyoniburudisha mi napagawa
Nakupenda unanipenda mpaka rahaa
Nikikuona tu nashiba sina njaa
Hili penzi limejawa na furaha
Wakikuiba natoa mtu kafara
Si wanasemaga penzi bonde na milima nipeleke
Unachonipa usidiriki kuninyima mi nideke
Penzi limetaradi oya halima acha nicheke
Nilale ama mi nisimame wima

Unanipa raha, nazidi kuwa mdogo mi sikui
Unanipa raha
Nifanye kitafunwa unile
Unanipa raha
Zidi kunifundisha mi sivijui
Unanipa raha
Nianze kukulisha ndo nile

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2023


Album : Raha (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

NANDY

Tanzania

NANDY aka The African Princess  real name Faustina Charles Mfinanga (born Novemb ...

YOU MAY ALSO LIKE