Home Search Countries Albums

Nipo Naye

NANDY

Nipo Naye Lyrics


Asante baba kwa kuikata kiu yangu
Nimekuwa shahidi shahidi nimeuona ukuu wako
Imani haba umeitoa ndani yangu
Umekuwa mfariji mfariji tena mshauri wangu
Umerudisha tumaini langu wajua
Wanilinda kila nikipiga hatua

Tena umeondoa fedheha na mashaka yote
Pia umenitua mizigo hujaniacha mpweke
Hajaniacha, nipo naye, nipo na Yesu
Baba, nipo naye
Hajaniacha, nipo naye, nipo na Yesu
Baba, nipo naye

Naelewa fikra kuna kutabasamu na kulia
Mengi umeniepusha mengine hata sikutarajia
Pale nilipolia ulinifuta chozi na ukanishikilia
Umenitoa hatia, umenivika taji leo nafurahia 

Tena umeondoa fedheha na mashaka yote
Pia umenitua mizigo hujaniacha mpweke
Hajaniacha, nipo naye, nipo na Yesu
Baba, nipo naye
Hajaniacha, nipo naye, nipo na Yesu
Baba, nipo naye

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Wanibariki (EP)


Copyright : (c) 2021 African Princess.


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

NANDY

Tanzania

NANDY aka The African Princess  real name Faustina Charles Mfinanga (born Novemb ...

YOU MAY ALSO LIKE