Tusipeane Masifa Lyrics

Rafiki rafiki yangu
Nina jambo napenda nikueleze
Na kama nitakuudhi nakuomba nisamehe
Ni jambo kuhusu sifa, usinipe masifa
Mungu ndiye wa masifa tumpe zetu sifa
Rafiki yangu unanishangaza sama
Leo unanisifu kesho unanisengenya
Ah sio vizuri, sio vizuri
Sitaki zako sifa (Sitaki)
Nikikugawia pesa unaniita mfalme
Nikikosa cha kukupea unanitukana mshenzi
Peke yangu no no no sitaki sifa
Tumpe Mungu wetu sifa, tusipeane masifa
Mungu ndiye wa masifa tusimwibie masifa
Tumpe Mungu wetu sifa, tusipeane masifa
Mungu ndiye wa masifa tusimwibie masifa
Tumpe Mungu wetu sifa, tusipeane masifa
Mungu ndiye wa masifa tusimwibie masifa
Hiki kipaji amenigawia Mungu
Usinisifie sana sijajipea mwenyewe
Sio vibaya kunipongeza
Ila usisahau ni Mungu aniniwezesha mimi nafanya vizuri
Sifa na utukufu zimrudie yeye
Na usiniambie mimi ni mhandsome dunia nzima
Utakuwa unanidanganya maana Mungu ameweka mahandsome wengi
Na usimwambie ye ndo mrembo dunia nzima hapana
Hapa kwa dunia Mungu ameweka warembo wengi nani
Tumpe Mungu wetu sifa, tusipeane masifa
Mungu ndiye wa masifa tusimwibie masifa
Tumpe Mungu wetu sifa, tusipeane masifa
Mungu ndiye wa masifa tusimwibie masifa
Tumpe Mungu wetu sifa, tusipeane masifa
Mungu ndiye wa masifa tusimwibie masifa
Wapo madaktari hosipitalini wanawatibu watu
Sio kwa nguvu zao ni kwa nguvu za Mungu baba
Wapo waandishi wa habari wanatangaza habari
Sio kwa nguvu zao ni kwa nguvu za Mungu baba
Wapo wasanii kama sisi tunapiga mavocal
Sio kwa sababu ya ndimu ni kwa sababu za Mungu baba
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Tusipeane Masifa (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MWANA MTULE
Kenya
Alpha Mwana Mtule is a gospel artist, comedian and song writer from Kenya ...
YOU MAY ALSO LIKE