Home Search Countries Albums

Tusipeane Masifa

MWANA MTULE

Tusipeane Masifa Lyrics


Rafiki rafiki yangu
Nina jambo napenda nikueleze
Na kama nitakuudhi nakuomba nisamehe 
Ni jambo kuhusu sifa, usinipe masifa
Mungu ndiye wa masifa tumpe zetu sifa

Rafiki yangu unanishangaza sama
Leo unanisifu kesho unanisengenya
Ah sio vizuri, sio vizuri
Sitaki zako sifa (Sitaki)

Nikikugawia pesa unaniita mfalme
Nikikosa cha kukupea unanitukana mshenzi
Peke yangu no no no sitaki sifa

Tumpe Mungu wetu sifa, tusipeane masifa 
Mungu ndiye wa masifa tusimwibie masifa
Tumpe Mungu wetu sifa, tusipeane masifa 
Mungu ndiye wa masifa tusimwibie masifa
Tumpe Mungu wetu sifa, tusipeane masifa 
Mungu ndiye wa masifa tusimwibie masifa

Hiki kipaji amenigawia Mungu
Usinisifie sana sijajipea mwenyewe
Sio vibaya kunipongeza
Ila usisahau ni Mungu aniniwezesha mimi nafanya vizuri
Sifa na utukufu zimrudie yeye

Na usiniambie mimi ni mhandsome dunia nzima
Utakuwa unanidanganya maana Mungu ameweka mahandsome wengi
Na usimwambie ye ndo mrembo dunia nzima hapana
Hapa kwa dunia Mungu ameweka warembo wengi nani 

Tumpe Mungu wetu sifa, tusipeane masifa 
Mungu ndiye wa masifa tusimwibie masifa
Tumpe Mungu wetu sifa, tusipeane masifa 
Mungu ndiye wa masifa tusimwibie masifa
Tumpe Mungu wetu sifa, tusipeane masifa 
Mungu ndiye wa masifa tusimwibie masifa

Wapo madaktari hosipitalini wanawatibu watu
Sio kwa nguvu zao ni kwa nguvu za Mungu baba
Wapo waandishi wa habari wanatangaza habari
Sio kwa nguvu zao ni kwa nguvu za Mungu baba
Wapo wasanii kama sisi tunapiga mavocal
Sio kwa sababu ya ndimu ni kwa sababu za Mungu baba

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Tusipeane Masifa (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MWANA MTULE

Kenya

Alpha Mwana Mtule is a gospel artist, comedian and song writer from Kenya ...

YOU MAY ALSO LIKE