Imebaki Tu Wewe Lyrics

Only love, only love with you
I wanna share with my love
Am longing to share with my love
(Alexis on the Beat)
Mungu amenifunza kupenda
Amenituma Mungu nikupende we
Nisikutese nisikucheze
Ameniruhusu kuishi na wewe
Yes mpenzi
Kwenye shida na raha
Atatulinda sote (Amesema hivyo)
Tusiwe na papara
Atatuongoza milele
Nipende nikupende, tupendane
Atujazie baraka tele
Nipende nikupende, tupendane
Mungu atujazie baraka tele
Usiogope ukadhani mi ni fisi
Mimi ni tunda lako
Kutoka kwake Mwenyezi
Mpenzi, mpenzi
Imebaki tu wewe kukubali
Ametukubalia Mwenyezi
Weka signature yako twende mbali
Mpenzi, mpenzi
Imebaki tu wewe kukubali
Ametukubalia Mwenyezi
Weka signature yako twende mbali
Pole sana kwa kuumizwa moyo
Wewe wangu mpenzi
Ila hio isifanye uwe mchoyo
Wa mapenzi share na mimi
Kesho mtafute mama wa Moh
Akuibie kasiri ka mapenzi
Nami nimtafute DJ Moh
Aniibie kasiri ka mapenzi
Nipende nikupende, tupendane
Atujazie baraka tele
Nipende nikupende, tupendane
Mungu atujazie baraka tele
Usiogope ukadhani mi ni fisi
Mimi ni tunda lako
Kutoka kwake Mwenyezi
Mpenzi, mpenzi
Imebaki tu wewe kukubali
Ametukubalia Mwenyezi
Weka signature yako twende mbali
Mpenzi, mpenzi
Imebaki tu wewe kukubali
Ametukubalia Mwenyezi
Weka signature yako twende mbali
Love is a beautiful thing
Whoever finds a wife, finds a good thing
Usiniruke unikatae, nimekuchagua wewe
Mpenzi, mpenzi
Imebaki tu wewe kukubali
Ametukubalia Mwenyezi
Weka signature yako twende mbali
Mpenzi, mpenzi
Imebaki tu wewe kukubali
Ametukubalia Mwenyezi
Weka signature yako twende mbali
Mpenzi, mpenzi
Imebaki tu wewe kukubali
Ametukubalia Mwenyezi
Weka signature yako twende mbali
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Imebaki tu Wewe (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MWANA MTULE
Kenya
Alpha Mwana Mtule is a gospel artist, comedian and song writer from Kenya ...
YOU MAY ALSO LIKE