Home Search Countries Albums

Pombe na Muziki

MR BLUE Feat. STEVE RNB

Pombe na Muziki Lyrics


Okey tunahesabu eh
Moja, mbili, tatu, twende

Nje kuna dem ndani kuna dem
Kwenye gari kuna dem najigawa vipi?
Mkono moja glass, mkono mmoja nyasi
Na vidole vina kazi nitawanawa vipi?

Bia nitachota kwa bomba
Sawa, dawa chalanga nanyonga
Sawa, pembeni mwanamke nyonga
Huku kumenoga napagawa chizi

Ah warembo wa mapambo wamechorwa
Bwana stand mambo unaporwa
Duu inaitwa nguvu ya dollar
Kila hatua naiona nguvu ya Mola

Hakuna sikukuu, sikukuu ni hii leo
Lenga matawi ya juu life kwa kideo
Ushapiga kimeo, ushapiga kileo
Hili jasho la jana napiga matokeo

Wowowo, pata nipate, pata nipate
Raha nifuate, taabu niache 
Hautapata muda wangu walahi niape
Walahi wa bilahi utaniona mara chache
Kazi starehe nakula vizuri muda
Nisipofanya kazi nitakulaje uri buda
Mziki kwenye damu kiburi vunga
Hizi baraka za mama na Mungu, fedhuli kunja 

Tukinywa pombe tunacheza muziki
Bila ya pombe hatuchezi muziki
Muziki, pombe na muziki
Muziki, pombe na kijiti

Muziki, pombe na muziki
Muziki, pombe na kijiti

Nikila mitungi lazima cigarette
Nachanganya mirungi na chakila yes
Natimua vumbi Vanny Boy
Nakomesha vikundi Country Boy
Nikilala blues nikiamka maraga raga
Mr Maujuzi nanuka malager lager
Mzuka umelipuka natupa mazaga zaga
Nabaki na bukta na rukali hakunaga

Nikichima wida nigongeeni reggea
Wacha waoane Chigunda Chege
Nimeshiba Zege Bongo Hiphop twende
Nikilewa mbege nacheza kama mbwege

Aslay baba  nibebe, TID baba mazeze
Okey pombe ziongezwe, okey okey
Nandy ninogeshe wewe
Mambo iko huku Mr Dj nichomeke Zouk
Huku tunagawana kuku
Tukigawana kuku tunagawana ruzuku
Kisha na mapombe mpaka chupa ziwe tupu
Asubuhi supu, sio supu tu, supu ya kuku

Kazi starehe nakula vizuri muda
Nisipofanya kazi nitakulaje uri buda
Mziki kwenye damu kiburi vunga
Hizi baraka za mama na Mungu, fedhuli kunja 

Tukinywa pombe tunacheza muziki
Bila ya pombe hatuchezi muziki
Muziki, pombe na muziki
Muziki, pombe na kijiti

Muziki, pombe na muziki
Muziki, pombe na kijiti

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Pombe na Muziki


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MR BLUE

Tanzania

Khery Sameer Rajab popularly known as Mr Blue, is a Tanzanian RnB and Bogo Flava musician born on Ap ...

YOU MAY ALSO LIKE