Ni Kwa Wema Lyrics
Si rahisi si rahisi
Kutoka nilikotoka si rahisi
Ni vigumu, ni vigumu
Mahali nilipofika ni vigumu
Si rahisi si rahisi
Kutoka nilikotoka si rahisi
Ni vigumu, ni vigumu
Kuwa hivi nilivyo ni vigumu
Imegharimu mkono wa Bwana
Kufika hapa nilipo si rahisi
Imegharimu wema wa Mungu
Kuwa hivi nilivyo ni vigumu
Imegharimu mkono wa Bwana
Kufika hapa nilipo si rahisi
Imegharimu wema wa Mungu
Kuwa hivi nilivyo ni vigumu
Si rahisi si rahisi
Kufika hapa nilipo si rahisi
Ni vigumu, ni vigumu
Kuwa hivi nilivyo ni vigumu
Umegeuza daraja ya mambo
Umebadilisha na mipango
Umegeuza daraja ya mambo
Umebadilisha nia mipango
Waliosema hayawezekani
Leo yanawezekana
Walitabiri hayawezekani
Lakini kwako yamewezekana
Huruma yako tu
Kuwa hivi nilivyo huruma yako tu
Ni neema yako tu
Kuwa hivi nilivyo ni neema yako tu
Si kwa akili zangu, si kwa uwezo wangu
Si kwa kutaka kwangu bali rehema yako tu
Huruma yako tu, neema yako tu
Huruma yako tu, kuwa hivi nilivyo huruma yako tu
Nafsi yangu mhimidi bwana
Tulia kwa bwana, mtukuze bwana
Mhimidi bwana
Ametenda mambo ya ajabu
Maisha yangu mambo ya ajabu
Amefanya mambo ya ajabu
Mbele ya adui mambo ya ajabu
Yanipasa kushukuru
Yanipasa kumwinua
Yanipasa kushukuru
Yanipasa kumwinua Mungu
Ni kwa wema, ni kwa wema
Jamani ni kwa wema wa Mungu, ni kwa wema
Kuimba ni kwa wema wa Mungu, ni kwa wema
Hivi nilivyo ni kwa wema
Wa Mungu ni kwa wema
Ni kwa wema, ni kwa wema
Ni kwa wema, ni kwa wema
Ni kwa wema, ni kwa wema
Ni kwa wema, ni kwa wema
Ni kwa wema, ni kwa wema
Ni kwa wema, ni kwa wema
Ni kwa wema, ni kwa wema
Ni kwa wema, ni kwa wema
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Ni Kwa Wema (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE