Home Search Countries Albums

Cha Mbunge

MONI CENTROZONE Feat. KUSAH

Cha Mbunge Lyrics


Na kiunoni ana gold chain
Na mi shingoni nina 2 chain
Mke wangu naomba kimoja cha mbunge
Akishatoa kitu najua anapenda cha mtume

Mtoto simple midomo ana lip gloss
So wait ni saa moja Bongo li saa moja
Nilimpata niko sina hata mkoko vichej
Wachawi wakasema nitaachwa wakabet

Zamani ya kutolea sikuwaza ilikuwa mpeto
Siku hizi tozo ziko juu ukitaka njoo ufuate ghetto
Navokula raha najiuliza who am I 
Vicheche sitaki walishanipa UTI

Hio milio kama lion
Majirani kero mwaiona
Yapo nguvu tupasue mgomba
Wenye wivu leo watakoma

Hili toto ni la moto, moto moto moto
Nauwasha moto, moto moto moto
Ah napenda anavyocheza amapiano
Kila nikimuona anasema teamo
Simtaki mwingine ye ndo mi amor
Kuringa kwake kunaendana na uzuri

Asubuhi majini kina mwenzio mdalasini
Dhamani ya mwanamke sio elfu thelathini
Huyu wa sasa nikimpa marks simpi A ya themanini
Nampa tisini na tisa ibaki moja ya mwalimu

So my baby uko juu, juu ya ini kama nyonda
Ukipanda kwa juu unavyonyonga kama nyoka
Sitaki watoto wa mjini wako Sinza kama Nyola
--kutwa mzima na vijora

Hio milio kama lion
Majirani kero mwaiona
Yapo nguvu tupasue mgomba
Wenye wivu leo watakoma

Hili toto ni la moto, moto moto moto
Nauwasha moto, moto moto moto
Ah napenda anavyocheza amapiano
Kila nikimuona anasema teamo
Simtaki mwingine ye ndo mi amor
Kuringa kwake kunaendana na uzuri

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Cha Mbunge (Single)


Copyright : (c) 2022


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MONI CENTROZONE

Tanzania

Moni Centrozone is a rapper, recording artist, Founder Of Majengo Sokoni Music in Dodoma, Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE