Home Search Countries Albums

Kiburi Lyrics


Huyu Mungu huchukizwa na kiburi
Huwashusha wale wote wa viburi
Huyu Mungu huchukizwa na kiburi
Huwashusha wale wote wa viburi

Neno lasema kwa wazi
Tujifunze kuwa wanyenyekevu
Na yote yaso halali
Pia hayafurahishi Mungu

Neno lasema kwa wazi
Tujifunze kuwa wanyenyekevu
Na yote yaso halali
Pia hayafurahishi Mungu

Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe
Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe

Kumbuka Nebuchadnezer alishushwa juu ya kiburi
Alijenga minara sifa zake akazipatia nuru
Kumbuka Nebuchadnezer alishushwa juu ya kiburi
Alijenga minara sifa zake akazipatia nuru

Ikawa Mola hakupendezwa 
Alishushwa kwa neno
Kweli hakupendezwa 
Alishushwa kwa neno

Neno lasema kwa wazi
Tujifunze kuwa wanyenyekevu
Na yote yaso halali
Pia hayafurahishi Mungu

Neno lasema kwa wazi
Tujifunze kuwa wanyenyekevu
Na yote yaso halali
Pia hayafurahishi Mungu

Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe
Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe

Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe
Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Kiburi (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MIMAH SHAFIE

Kenya

Mimah Shafie is a gospel artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE