Kiburi Lyrics
Huyu Mungu huchukizwa na kiburi
Huwashusha wale wote wa viburi
Huyu Mungu huchukizwa na kiburi
Huwashusha wale wote wa viburi
Neno lasema kwa wazi
Tujifunze kuwa wanyenyekevu
Na yote yaso halali
Pia hayafurahishi Mungu
Neno lasema kwa wazi
Tujifunze kuwa wanyenyekevu
Na yote yaso halali
Pia hayafurahishi Mungu
Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe
Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe
Kumbuka Nebuchadnezer alishushwa juu ya kiburi
Alijenga minara sifa zake akazipatia nuru
Kumbuka Nebuchadnezer alishushwa juu ya kiburi
Alijenga minara sifa zake akazipatia nuru
Ikawa Mola hakupendezwa
Alishushwa kwa neno
Kweli hakupendezwa
Alishushwa kwa neno
Neno lasema kwa wazi
Tujifunze kuwa wanyenyekevu
Na yote yaso halali
Pia hayafurahishi Mungu
Neno lasema kwa wazi
Tujifunze kuwa wanyenyekevu
Na yote yaso halali
Pia hayafurahishi Mungu
Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe
Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe
Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe
Kiburi kiburi, kiburi kiburi
Kiburi kiburi kitafanya ushushwe
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Kiburi (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE