Home Search Countries Albums

Upendo Lyrics


Kuna aina za upendo, aina nyingi
Lakini upendo wako ndio halisi
Kuna aina za utukufu, aina nyingi
Lakini wako ni mkuu na wa milele

Kuna aina pia za miungu
Lakini we ni Mungu mkuu aliye hai

Nimekujua nimetosheleka (Tosheleka)
Nimekujua nimekupenda (Kupenda)
Nimekujua nimetosheleka (Tosheleka)
Nimekujua nimekupenda (Kupenda)

Kuna namna, kuna namna, unatupenda
Inabidi Yesu, nikupende
Kuna namna, kuna namna, unatupenda
Inabidi Yesu, nikupende

Hukututenda sawa sawa na hatia zetu
Wala hukutulipa kwa maovu yetu
Umeniokoa mtegoni wa mwindaji
Kwa manyoya umenifunika niko salama

Nimekujua nimetosheleka (Tosheleka)
Nimekujua nimekupenda (Kupenda)
Ujana wangu (Ndio) umerejeshwa (Ndio)
Ujana wangu (Ndio) umerejeshwa (Ndio)

Kuna namna, kuna namna, unatupenda
Inabidi Yesu, nikupende
Kuna namna, kuna namna, unatupenda
Inabidi Yesu, nikupende

Kuna namna, kuna namna, unatupenda
Inabidi Yesu, nikupende
Kuna namna, kuna namna, unatupenda
Inabidi Yesu, nikupende

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Zaidi/ Upendo (Album)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MERCY MASIKA

Kenya

Mercy Masika is a Gospel Singer and songwriter from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE