One Day Lyrics
[VERSE 1 :]
Kosa langu me kukuçhagua,
Ikulu mwili wangu unanisumbua,
Nikupe nini ulidhike, yakome masekeseke.
Silali niwewesekeeh heeeh ee eeeh!!??
[BRIDGE]
Vidonda vya moyo vibaya, vinanitesa sana,
Kilio changu sio chao, siwezi kulia na wao
Kilio changu sio chao, siwezi kulia na wao
huuuuuuuuh Moyo wangu
[CHORUS]
Only one day ningekuwa kama wale,
Tungekuwa saresare kama maisha ya kambale
Tungekuwa saresare kama maisha ya kambale
Nijichane kifuani, nikianike hadharani,
Mfupa kwa kiboyo, siwezi kuwa poyoyo,
Zile sitaki nataka, pupa haina baraka,
Umegeuka kichaka, hifadhi ya takataka
[BRIDGE]
Vidonda vya moyo vibaya, vinanitesa sana,
Kilio changu sio chao, siwezi kulia na wao x2
huuuuuuuuh Moyo wangu
hiiiiiiih Nafsi yangu
[CHORUS]
Only one day ningekuwa kama wale,
Tungekuwa saresare kama maisha ya kambale
Tungekuwa saresare kama maisha ya kambale
Nijichane kifuani, nikuanike hadharani,
Mfupa kwa kibogoyo, siwezi kuwa poyoyo,
Zile sitaki nataka, pupa haina baraka,
Umegeuka kichaka, hifadhi ya takataka
[BRIDGE]
Vidonda vya moyo vibaya, vinanitesa sana,
Kilio changu sio chao, siwezi kulia na wao
Kilio changu sio chao, siwezi kulia na wao
huuuuuuuuh Moyo wangu
hiiiiiiih Nafsi yangu
Only one day, ningekuwa kama wale,
Kama maisha ya kambale eeeeeh
Vitam tamu ndani yake vina sumu, wewe Moyoooh
Mbona una nihukumu
Mbona una nihukumu
Only one day, ningekuwa kama wale
Tungekuwa saresare
Kama maisha ya kambale eeeeh
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 0
Album : One Day (Single)
Added By : MeaConscious
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE