Home Search Countries Albums

Bloody War

MBOGI GENJE Feat. SESKA, DULLAH MKHALIF

Bloody War Lyrics


Bloody scene mareporter wahepe
Ka ni scene marevolver ma AK
Ibaki scene nikawe ngwangi ama senke
Hapa gwangi atabakisha masenke
Ama gwangi atabakishwa na senke
Hapa gwangi atabakisha masenke
Ama gwangi atabakishwa na senke
Hapa gwangi atabakisha masenke

Mahuru ni mahuru ye atabaki kuwa mahuru
Na wa huku hutumia dumba na madawa kama dudu
Ka ni vita utabaki bila ukapi na marungu
Hapa issues staki unaeza vunjwa bloody nugu

Pia ma-misuse staki jua exile tuko huku
Bila morio bila ndugu utaweza utafaulu
Kila mtu ana virusi hadi mapastor wanajishuku
Hapa hakunaga mapenzi jo mapenzi haiezi dumu

Na nakunawuo nakudigi gotea morio chanji zigi
Ye huziroll bila zigi buda riang' kaa makini
Kunywa thiang' kama mbili buda riang' huna akili 
Huwezi burn ka nare, huwezi run ka mkale

Kisu, kisu haichagui koma, koma koka haichagui kisu
Kisu, kisu haichagui koma, koma koka haichagui kisu
Kisu, kisu haichagui koma, koma koka haichagui kisu
Unambao na unadai kubuy Kibao nusu 

Bloody scene mareporter wahepe
Ka ni scene marevolver ma AK
Ibaki scene ni ka we ngwangi ama senke
Hapa gwangi atabakisha masenke
Ama gwangi atabakishwa na senke
Hapa gwangi atabakisha masenke
Ama gwangi atabakishwa na senke
Hapa gwangi atabakisha masenke

Zama choche ya machingri na makidri
Hao marezy wanabanja ni wa nigri
Nafufua ile ilengi wanazigri
Rengwa wako Chiromo kwa njifri

Mi hupenda kuzi cock kama koki
Kama mbaya basi tunabaki mbogi
Uko tifla umebugda kwa rodi
Na madibla zimetapakaa kwa rothi

Morio ngori anasimamia njiste
Ka ni ngeoso mi huzungusha na diffre
Ka ni asset kuzipeleka moriste
Ka ni baley mi hubwagishaga ticre

Tuko frontde m-G tumejibeba
Tuko stroko kila giz kujitepa
Ka ni shake si hulima hizi ndepa
Hizi shang' ndio husababisha rieba

Niko ndoso nawazama tu mambosho
Ni kunare walidhani ni kunyoso
Zimeshika ka simiti na kokoto
Kuwadeki kwa warosho kimangoto

Bloody scene mareporter wahepe
Ka ni scene marevolver ma AK
Ibaki scene nikawe ngwangi ama senke
Hapa gwangi atabakisha masenke
Ama gwangi atabakishwa na senke
Hapa gwangi atabakisha masenke
Ama gwangi atabakishwa na senke
Hapa gwangi atabakisha masenke

Kifo haichagui ka umeokoka 
Haichagui kabila
Haichagui ka we umeomoka 
Haichagui kama wewe hukaa bila

We ni simba blunder umekam sina itoka na bilaa
Achanga ufike shang' alafu upate mi ndio gantila
Achanga ukabila, si ni watumwa tuliacha mila
Medi wa miraa, huwezi nipata mi bila silaha

Bangi na miraa, bangi na
Bangi na miraa, bangi na silaha
Hakuna vitu siwezi kaa bila

Bloody scene mareporter wahepe
Ka ni scene marevolver ma AK
Ibaki scene nikawe ngwangi ama senke
Hapa gwangi atabakisha masenke
Ama gwangi atabakishwa na senke
Hapa gwangi atabakisha masenke
Ama gwangi atabakishwa na senke
Hapa gwangi atabakisha masenke

Masenke, masenke, masenke
Hapa gwangi atabakisha masenke

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Bloody War (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MBOGI GENJE

Kenya

Mbogi Genje also known as "Sheng Masters" is a group of  three artists from Keny ...

YOU MAY ALSO LIKE