Lala Salama Lyrics

Salama aah, salama aah
Salama aah, salama aah
Salama aah, salama aah
Salama aah, salama aah
Naomba uwepo wako japo kidogo
Nawaza nawaza kama litaisha hili ndoto
Mwenzako nakutafuta na mwenzangu sikuoni
Mawazo yako yamenijaa nahisi nimefika ukingoni
Si movie baba, umetuwacha wana
Mama analia sana, umemuacha mama
Si movie baba, umetuwacha wana
Mama analia sana, umemuacha mama
U salama, ulale salama
Ooh baba salama, ulale salama
Oooh salama, ulale salama
Oh baba salama, ulale salama
Sitakufa moyo maana niko na wewe Yahweh, Yahweh
Hata kwa machozi unabaki wewe Yahweh tu, Yahweh
Umekuwa baba, baba wa yatima
Umekuwa mume, mume wa wajane wote baba
Si movie baba, umetuwacha wana
Mama analia sana, umemuacha mama
Si movie baba, umetuwacha wana
Mama analia sana, umemuacha mama
U salama, ulale salama
Ooh baba salama, ulale salama
Oooh salama, ulale salama
Oh baba salama, ulale salama
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Lala Salama (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE