Home Search Countries Albums

Lala Salama Lyrics


Salama aah, salama aah
Salama aah, salama aah
Salama aah, salama aah
Salama aah, salama aah

Naomba uwepo wako japo kidogo
Nawaza nawaza kama litaisha hili ndoto
Mwenzako nakutafuta na mwenzangu sikuoni
Mawazo yako yamenijaa nahisi nimefika ukingoni

Si movie baba, umetuwacha wana
Mama analia sana, umemuacha mama
Si movie baba, umetuwacha wana
Mama analia sana, umemuacha mama

U salama, ulale salama
Ooh baba salama, ulale salama
Oooh salama, ulale salama
Oh baba salama, ulale salama

Sitakufa moyo maana niko na wewe Yahweh, Yahweh
Hata kwa machozi unabaki wewe Yahweh tu, Yahweh
Umekuwa baba, baba wa yatima
Umekuwa mume, mume wa wajane wote baba

Si movie baba, umetuwacha wana
Mama analia sana, umemuacha mama
Si movie baba, umetuwacha wana
Mama analia sana, umemuacha mama

U salama, ulale salama
Ooh baba salama, ulale salama
Oooh salama, ulale salama
Oh baba salama, ulale salama

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Lala Salama (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MASHMWANA

Kenya

Mashmwana is a gospel artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE