Accueil Recherche Pays Albums

Yanga Tamu

MARIOO

Yanga Tamu Lyrics


Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!
(Yanga Baddest, shii)
Kamata kamata kamata, kamata!
Niacheni tu nile bata, maaana makoro nishainyeka (Sana)
Niacheni tu mi nienjoy, huko uwanjani nishaumizwa
Niacheni tu nile bata, maaana makoro nishainyeka (Sana)
Niacheni tu mi nienjoy, huko uwanjani nishaumizwa

Maisha mafupi baby, ukipenda makoro utazeeka
Usipende timu mbovu utazeeka
Atchu
Ninaipenda Yanga nakufa nayo

Enjoy life is too short
Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!

Eti baby wangu anivuruge ubongo 
Eti na timu yangu inichanganye kichwa
(Mmhh! weeh! sio kweli)
Weeh! Yanga tamu

Asikwambie mtu tu tu Yanga tamu 
Mpira mpira na JCM, Yanga tamu 
Ah! Yii! Yanga tamu
Asikwambie mtu tu tu Yanga tamu 
Mpira mpira na JCM, Yanga tamu 
Shii!

Shii! hahaha
Nani analiweza chama langu? Nauliza
Eti nani ataiweza Yanga yangu? Nauliza
Jamani nani atamweza G Manara? Nauliza
Huko nani ataluweza Bugatti? Nauliza

Mi nishalewa, naipenda Yanga nishalewa (Mi nishalewa)
Mi nishalewa, sibanduki nishalewa (Mi nishalewa)
Mi nishalewa, navyoipenda nishalewa (Mi nishalewa)
Wanatetema, tetema, Engineer kamata twende!

Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!

Eti baby wangu anivuruge ubongo 
Eti na timu yangu inichanganye kichwa
(Mmhh! weeh! sio kweli)
Weeh! Yanga tamu

Asikwambie mtu tu tu Yanga tamu 
Mpira mpira na JCM, Yanga tamu 
Ah! Yii! Yanga tamu
Asikwambie mtu tu tu Yanga tamu 
Mpira mpira na JCM, Yanga tamu 
Shii!

 

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Yanga Tamu (Single)


Copyright : (c) 2022


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MARIOO

Tanzanie

Marioo est un artiste chanteur et auteur tanzanien, basé à Dares Salaam. Il se fait co ...

YOU MAY ALSO LIKE