Accueil Recherche Pays Albums

Beer Tamu

MARIOO Feat. TYLER ICU, VISCA, ABBAH

Read fr Translation

Beer Tamu Lyrics


Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!

Niacheni tu nile bata, zama za kale nishainyeka (Sana)
Niacheni tu mi nienjoy, huko zamani nishaumizwa
Niacheni tu nile bata, zama za kale nishainyeka (Sana)
Niacheni tu mi nienjoy, huko zamani nishaumizwa

Maisha mafupi baby, ukikunja kunja sura utazeeka
Usikunje kunje sura utazeeka
Usikunje kunje sura utazeeka
Usibane bane sana utazikwa nalo

Enjoy life is too short
Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!

Eti baby wangu anivuruge ubongo 
Hata kazini kwangu anichanganye kichwa
(Mmhh! weeh! sio kweli)
Weeh! Beer tamu

Asikwambie mtu tu tu beer tamu 
Beer beer, mitungi beer tamu 
Ah! Yii! Beer tamu
Asikwambie mtu tu tu beer tamu 
Beer beer, mitungi beer tamu 
Ah! Yii!

Nani kamwaga pombe yangu? Nauliza
Eti nani kamwaga pombe yangu? Nauliza
Jamani kamwaga pombe yangu? Nauliza
Eti nani kamwaga pombe yangu? Nauliza

Mi nishalewa, niko chakari nishalewa (Mi nishalewa)
Mi nishalewa, nyaka nyaka nishalewa (Mi nishalewa)
Mi nishalewa, sijielewi nishalewa (Mi nishalewa)
Mi nishalewa, hapa nitazima nishalewa (Mi nishalewa)

Kamata kamata kamata, kamata!
Kamata kamata kamata, kamata!

Eti baby wangu anivuruge ubongo 
Hata kazini kwangu anichanganye kichwa
(Mmhh! weeh! sio kweli)
Weeh! Beer tamu

Asikwambie mtu tu tu beer tamu 
Beer beer, mitungi beer tamu 
Ah! Yii! Beer tamu
Asikwambie mtu tu tu beer tamu 
Beer beer, mitungi beer tamu 
Ah! Yii!

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Beer Tamu (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MARIOO

Tanzanie

Marioo est un artiste chanteur et auteur tanzanien, basé à Dares Salaam. Il se fait co ...

YOU MAY ALSO LIKE