Home Search Countries Albums

Usinikomoe Lyrics


Nimeshakuwa kipofu, kipofu jamani
Kama ukiniacha mi, usiniache njiani
Maumivu ya mapenzi, nitabembelezwa na nani
Furaha yangu ni wewe, ni wewe tu

Wala mapenzi sio kutwa
Kusema utaishia hapa
Wala mapenzi sio nukta
Nikakufanya we mwisho

Tena ukiamua kunicheat 
Unaweza ukafanya kokote
Mwanamke hachungwi
Anajichunga mwenyewe

Aaah nakubembeleza
Ili tuwe sawa
Aaah nakubembeleza
Usiniache mwenyewe moyo utaumia

Usinikomoe nitaumia
Usinikomoe nitaumia
Usinikomoe nitaumia
Usinikomoe nitaumia

Rudisha rudisha 
Kisha moyo wako
Rudisha rudisha 
Mapenzi yako

Umenikaa kama nguo(Kama nguo ooh)
Tuwe Juliet na Romeo(Na Romeo ooh)

Tuwape mipaka marafiki
Tuwakatae kama radhi
Penzi usitie ukakasi
Na moyo ukapata ganzi

Tulishakula na kiapo
Kwamba milele nitakuwa wako daima
Niwe wako wakoooo

Natafuta mi kwa jasho
Ili changu kiwe chako daima
Uwe nacho wowoo, wowooo

Aaah nakubembeleza
Ili tuwe sawa
Aaah nakubembeleza
Usiniache mwenyewe moyo utaumia

Usinikomoe nitaumia
Usinikomoe nitaumia
Usinikomoe nitaumia
Usinikomoe nitaumia

Rudisha rudisha 
Kisha moyo wako
Rudisha rudisha 
Mapenzi yako

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Usinikomoe (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MAKA VOICE

Tanzania

MAKA VOICE  is a Bongo Flava artist from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE