Only You Lyrics
(Mocco)
Mbona mimi sijui?
Nina nini sijui?
Umenipa nini kidawa?
Kila nachofanya ni sawa
Akipa ni chakula muda wa kula
Yaani mpaka unilishe
Usiku usingizi sina
Mpaka ulale wewe, aah
Una uzuri wa sura
Na hio chura ufundi usizidishe
We ni size yangu
Kina twaendana wewe
You be there for me my baby
I be there for you my baby
Baby wewe ni wangu
Mapenzi hayana kipimo
Mimi na wewe tu kucheat no
Nishadondosha wino
Nishadondosha wino
Only you, only you
Only you, only you, only you
Only you, only you
Only you, only you, only you
Mungu anaumba, Mungu anachora
Mungu anayakatakata maumbo
Mungu anafumba
Mola kakujazajaza nyama rundo
Si ndo maasi kokoto
Vimacho vyako changarawe
Mwili homa nahisi arosto
Tuanze kula ndo tunawe
My chioma my tototo
Ukinimwagia sandakalawe
Sodoma nauona moto
Ukibiduka paranawe
Mwarubaini ni dawa ya tumbo
Usiichanganye na sukari, ooh na sukari
Nimebaini penzi ni fumbo
Si maandishi ya daftari
Ukicheka mashavu vishimo
Mtamu mpaka kisigino
We ndo mamilove
We ndo mamilove
Mapenzi hayana kipimo
Mimi na wewe tu kucheat no
Nishadondosha wino
Nishadondosha wino
Only you, only you
Only you, only you, only you
Only you, only you
Only you, only you, only you
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Only You (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MACVOICE
Tanzania
Macvoice is an artist from Tanzania signed under Next Level Music by Rayvanny. He is the first signe ...
YOU MAY ALSO LIKE