Home Search Countries Albums

Only You

MACVOICE Feat. MBOSSO

Read en Translation

Only You Lyrics


(Mocco)
Mbona mimi sijui?
Nina nini sijui?
Umenipa nini kidawa?
Kila nachofanya ni sawa

Akipa ni chakula muda wa kula
Yaani mpaka unilishe
Usiku usingizi sina 
Mpaka ulale wewe, aah

Una uzuri wa sura
Na hio chura ufundi usizidishe
We ni size yangu
Kina twaendana wewe

You be there for me my baby
I be there for you my baby
Baby wewe ni wangu

Mapenzi hayana kipimo
Mimi na wewe tu kucheat no
Nishadondosha wino
Nishadondosha wino

Only you, only you
Only you, only you, only you
Only you, only you
Only you, only you, only you

Mungu anaumba, Mungu anachora
Mungu anayakatakata maumbo
Mungu anafumba 
Mola kakujazajaza nyama rundo

Si ndo maasi kokoto
Vimacho vyako changarawe
Mwili homa nahisi arosto
Tuanze kula ndo tunawe

My chioma my tototo
Ukinimwagia sandakalawe
Sodoma nauona moto
Ukibiduka paranawe

Mwarubaini ni dawa ya tumbo
Usiichanganye na sukari, ooh na sukari
Nimebaini penzi ni fumbo
Si maandishi ya daftari

Ukicheka mashavu vishimo
Mtamu mpaka kisigino
We ndo mamilove
We ndo mamilove

Mapenzi hayana kipimo
Mimi na wewe tu kucheat no
Nishadondosha wino
Nishadondosha wino

Only you, only you
Only you, only you, only you
Only you, only you
Only you, only you, only you

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Only You (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

MACVOICE

Tanzania

Macvoice is an artist from Tanzania signed under Next Level Music by Rayvanny. He is the first signe ...

YOU MAY ALSO LIKE