Home Search Countries Albums

Leo

MABANTU Feat. MARIOO

Read en Translation

Leo Lyrics


Leo oooooh Mungu Ameniona, ameniona
Leo oooooh Mungu Ameniona ameniona

Jaza jaba gonga glasi leo mambo yote mneso (Amina)
Mungu amekata minyororo yote ya mateso (Amina)
Mvua Jua vilitupita na hatukua na leso (Amina)
Ila tuliishi kwa imani tukiamini kesho (Amina)

Ukiona yanazidi sana majaribu
Basi kusucceed ku karibu
Nilidondoka nikainuka tena nikajaribu
Nikasema ipo siku Mungu atanijibu

Leo ooooh Mungu Ameniona, ameniona
Leo ooooh Mungu Ameniona ameniona

Ah nilikuwa single ila leo niko na baby (Amina)
Nishalizwaga mpaka chozi nikajaza debe (Amina)
Tena nabembelezwa nadekezwa dede (Amina)
Hatimaye leo tumewakata ngebe (Amina)
Wakileta leta mapepo (fire)
Wakitaka tuachane (fire)
Vineno neno vya chuki (fire)
Tukiachana mtuite mbwa tumekaa pale

Leo ooooh Mungu Ameniona, ameniona
Leo oooooh Mungu Ameniona ameniona

Leo natumia coz jana nilisettle (Amina)
Ile kupanda kushuka leo nami nina ghetto (Amina)
Dharau masimango tulishinda mateso (Amina)
Tuishi kwa imani na tuamini kesho ( Amina)
God when say nobody can say no nobody can say no
Mungu akisema inawezekana amna wakupinga wakupinga

Leo oooooh Mungu Ameniona, ameniona
Leo oooooh Mungu Ameniona ameniona

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2022


Album : Leo (Single)


Added By : Farida

SEE ALSO

AUTHOR

MABANTU

Tanzania

Mabantu Is A Urban Boy Band From Tanzania Consisting Of Muuh Mabantu And Twaah Mabantu ...

YOU MAY ALSO LIKE