Cheusidawa Lyrics
Yoggo on the beat
Nikakaonyesha mvua nguo
Na tayari nisha kuoga
Na ka mapenzi ningeridhia
Ruksa zingeisha kuniroga
Katoto sura mashallah
Wacha nikusifie
Sijajaliwa pesa la kibagi
So acha nikuimbie
Mi moyo chapa chapa
Nimelowa lowa
Sasa mimi sasa
Kwako ndo nishakuwa
Mi kwako tilalila
Nimelewa lewa
Nilipoteza dira
Ukaniweka sawa
Mwenye rangi ya ndimu sangita
Natural black colour(Cheusidawa)
Jeusi kabisa,
Sio Carolyte(Cheusidawa)
Ka rangi kake bomba kama mkaa
Yeye cheusidawa(Cheusidawa)
Ila nimenasa barani
Kwake cheusidawa
Nakupenda cheusidawa
We cheusidawa
Nakupenda cheusidawa
We cheusidawa
Nakupenda cheusidawa
Mi mwenzako moyo ukilemaa
Nipe na magongo nitembee
Sa yasije masinema
Ukafanya wanizomee
Zile raha unazonipa
Mwenzako mi nazidiwa
Sitamani nishau upunguze
Ziongeze nizidi changanyikiwa
Kwako nitabaki njia ya kusita kiboko
Nifungie kama teja na soko
Au kama mtoto na pota
Hata ukichelewa mi nitangoja
Nimekupa vyeo na ma CV
Masters,pHD
Sio Diploma mpaka Degree
Maana nakupenda hivi
Mwenye rangi ya ndimu sangita
Natural black colour(Cheusidawa)
Jeusi kabisa,
Sio Carolyte(Cheusidawa)
Ka rangi kake bomba kama mkaa
Yeye cheusidawa(Cheusidawa)
Ila nimenasa barani
Kwake cheusidawa
Nakupenda cheusidawa
We cheusidawa
Nakupenda cheusidawa
We cheusidawa
Mi moyo chapa chapa
Nimelowa lowa
Sasa mimi sasa
Kwako ndo nishakuwa
Mi kwako tilalila
Nimelewa lewa
Nilipoteza dira
Ukaniweka sawa
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : CHEUSIDAWA (Single)
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
MABANTU
Tanzania
Mabantu Is A Urban Boy Band From Tanzania Consisting Of Muuh Mabantu And Twaah Mabantu ...
YOU MAY ALSO LIKE