Home Search Countries Albums

Namaanisha

LOMODO

Namaanisha Lyrics


Iyee, mmmmh
Naahidi nitakupenda mpaka kifo
Kitutenganishe 
Tuvuke majangwa na mafuriko

Kwenye baridi 
Wewe ndo wangu jiko
Acha kuni nichochee 
Unanipa joto

Eh sema utakacho mie sawa
Sitabishana
Waseme utakavyo mie chawa
Tukiongozana

We ndo wangu paracetamol
Watuliza maumivu ya moyo
Sina mwingine oooh ma yoo

Na maneno yasiyozidi kimo
Yakaleta gharika ya moyo
Wasitukalie vikao

Namaanisha, ninamaanisha
Namaanisha, ninamaanisha

Na nikisema nakupenda
Basi ujue namaanisha
Chizi mto kwa midenda
Kwa verse natiririka

Ooh baby mi mwenzako 
Nimezama vibaya yaya
Sijiwezi 
Usinitupe ukamakaya yaya

Nisipokuona mi roho juu juu
Nikikuona tu napata nafuu
Sitaki kuota njia ni wewe tu
Harufu manukato we ndo karafuu

Na kama tiba 
We ndo wangu paracetamol 
Watuliza maumivu ya moyo
Sina mwingine ooh ma yoo

Na maneno yasiyozidi kimo
Yakaleta gharika ya moyo
Wasitukalie vikao

Namaanisha, ninamaanisha
Namaanisha, ninamaanisha

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Namaanisha (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

LOMODO

Tanzania

LOMODO is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE