Najuta Lyrics

Nilikupenda, nikakuamini
Utanipenda utakua na mimi
Kumbe unanilisha matango pori, matango pori
Nikakkujali nkakuthamini
Nikasamehe mara sabini
Ukikosea ukisema am sorry, ukisema am sorry
Kweli majuto ni mjukuu
Najuta kukuamini
Niliamini penzi utalitunza
Kumbe naubwaga moyo
Yangu macho umetia vitumguu
Kila siku nalia mimi
Nashukuru leo umenifunza
Nilikuaga poyoyo
Moyo wangu ushautia ganzi
Kupenda sitamani tena
Oho mapenzi maradhii aiyo
Moyo wangu ushautia ganzi
Kupenda sitamani tena
Mi umeniachia maradhii
Ooh ooh oooh
Mbona nilikupenda sanaa
Ooh ooh oooh
Sasa hivi ndo nini tena baby
Ooh ooh oooh
Ninapuyanga unapuyanga baby
Nakuona gaidi nakuona muuaji
Ulicheza na hisia zangu
Uliniomba kijiji nikakupa jiji
Leo umeniacha peke yangu
Ukweli siamini, siamini
Mapenzi ni ya wote lakini anayeteseka mimi
Ukweli siamini, siamini
Mapenzi ni ya wote ila mii
Moyo wangu ushautia ganzi
Kupenda sitamani tena
Oho mapenzi maradhii aiyo
Moyo wangu ushautia ganzi
Kupenda sitamani tena
Mi umeniachia maradhii
Ooh ooh oooh
Mbona nilikupenda sanaa
Ooh ooh oooh
Sasa hivi ndo nini tena baby
Ooh ooh oooh
Ninapuyanga unapuyanga baby
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2022
Album : Najuta (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
YOU MAY ALSO LIKE