Waridi Lyrics
(Unanikomesha) Uhhhhhh
(Unanikomesha)
(Unanikomesha) Ni vampK
(Unanikomesha)
254 (Big Daddy)
Ukidunga kamini
Gunia Gauni ama Dera ,Bado we ni mashini
Sijui nikwanini, Nikikuona nahisi nginyera inakata maini
Wanashangaa ati Niko Boring na hauendagi kwao
Wanasambaza nyori na hatukulagi kwao
Bila chapaa hatuna ngori fiti zaidi yao
Hata tukiwa na njaa tunala story finger pande yao
Nitunze Kama mshumaa ama koroboi
Ndo nisipoe, unipende Mimi... Mhhh
Kuna wengi shujaa wenye pesa na Mali dooh
Wasikutoe unitende Mimi
Wasikuvizie unikimbie mpenzi (Waridi)
Na huu unyonge wangu si nitanyong'onyea (Waridi)
Nivumilie, nikuhudumie, babe (Waridi)
Hata ng'ombe za Nyanyangu ntakupea eeeeh
(Unanikomesha)
Nyumba magari havishindi thamani yako, (Unanikomesha)
Ntapeana vyote niwe nawe ma babe boo (Unanikomesha)
Sukari asali havishindi utamu wako (Unanikomesha)
Naeza kula sembe kavu nikikutazama tuu
(Unanikomesha, Unanikomesha)
Kuja ghetoni tupike
Ukaange nikionja Hadi kwa sufuria kaive, iyeeih
Kisha stima tuzime
Tukule mziki kwa nguvu mpaka majirani wakujee, iyeeeh
Ulivyojaah
Nika unakulaga ijumaa
Ukinishika moyo unashikwa na kaswende nazubaa
Unanifaa, yaani mi ndo Giza we ndo taa
Ninavyokupenda nikama nimekuzaa eeeh
Nitunze Kama mshumaa ama koroboi
Ndo nisipoe, unipende Mimi... Mhhh
Kuna wengi shujaa wenye pesa na Mali dooh
Wasikutoe unitende Mimi
Wasikuvizie unikimbie mpenzi (Waridi)
Na huu unyonge wangu si nitanyong'onyea (Waridi)
Nivumilie, nikuhudumie, babe (Waridi)
Hata ng'ombe za Nyanyangu ntakupea eeeeh
(Unanikomesha)
Nyumba magari havishindi thamani yako, (Unanikomesha)
Ntapeana vyote niwe nawe mababe boo (Unanikomesha)
Sukari asali havishindi utamu wako (Unanikomesha)
Naeza kula sembe kavu nikikutazama tuu
(Unanikomesha, Unanikomesha)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Waridi (Single)
Added By : Farida
SEE ALSO
AUTHOR
LETEIPA THE KING
Kenya
Vampk254 also known as Leteipa the King is an Afro pop music artist from Kenya. ...
YOU MAY ALSO LIKE