Home Search Countries Albums

Nimeshafika ft Mikasi

LETEIPA THE KING

Nimeshafika ft Mikasi Lyrics


O lalala
Oooh nanana mwambie mama
Vampk mwambie mama
Vampk mwambie mama dih mikasi top, na vampk

Aaah, mwambie mama nimeshafika
Mhhh tena mi nimefika salama
Oooh mwambie mama nimeshafika
Eeeeeh Tena mi nimefika salama,

Hilo Jiji la Loitokitok ntalikosa
Sana yeye anajua ilivyonichoma mama
Nyumbani dhiki, ikanibidi niende mbali ntawakosa
Mimi naenda kutafuta Mali
Acha niende mimi nanikija ujidai mama
Acha niende mimi nikirudi tufurahi
Mama yangu ma ujidaii
Mama weeh ufurahi
Mama yangu ma ujidai eh
Mama yangu we ufurahi

Aaah, mwambie mama nimeshafika
Mhhh tena mi nimefika salama
Oooh mwambie mama nimeshafika
Eeeeeh Tena mi nimefika salama

Mwambie dada, elimu msingi dunia inakaba
Kama mapenzi mama, walipendaga wengi mwisho wakamwagwa
Basi na asome na bidii, nampendaga
Basi dada asome na bidii nampendaga

Nanivema siku ya Leo umewakumbuka
Ndugu zako na marafiki huku Nyumbani
Baba yako aliposikia alifyatuka
Dada yako na yeye haonekani Nyumbani
Mpenzi wako vaileti wafilisti wanamvizia
Wamempa spaghetti siku hizi anaturingia
Mama yako ameketi barazani akifikira
Heri angezaa Gazeti blanketi ama sufuria
Lakini kuja Nyumbani we tunakungoja (Ruuuudiii)
Hata kama wamekung'oa jicho Moja (Ruuuudi)
Yeyeyeiyeeeeh

Aaah, mwambie mama nimeshafika
Mhhh tena mi nimefika salama
Oooh mwambie mama nimeshafika
Eeeeh Tena mi nimefika salama
Aaah, mwambie mama nimeshafika
Mhhh tena mi nimefika salama
Oooh mwambie mama nimeshafika
Eeeeeh Tena mi nimefika salama

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Nimeshafika ft Mikasi (Single)


Added By : Leteipa the King

SEE ALSO

AUTHOR

LETEIPA THE KING

Kenya

Vampk254 also known as Leteipa the King is an Afro pop music artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE