Home Search Countries Albums

Sikupenda

LAMITHAH

Sikupenda Lyrics


Aah, aah aah
(Lamithah)

Lile huba ulonipa naliwaza
Nimejaribu kulifuta limekataa
Mwenzko siwezi
Moyo umesema no no no , nakuwaza

Umenizima kama moto wa kivuvu, mi dhamani sina
Umeniacha na makovu kila siku nalitaja jina
Nihurumie, nazimiss zile pipi chocolate
Oh nikaribie, mi mwenzako sijiwezi yo yo

Sikupenda penda nilidani kugombana
Na pia sikupenda vile tulivyoachana
Sikupenda penda nilidani kugombana
Na pia sikupenda vile tulivyoachana

Ulikuwa na tabia, tabia flani sikuipenda
Nikikuuliza chochote unageuka unakwenda
Kwa maamuzi ya hasira nilihisi kama hunipendi
Nikajifanya mi tahira dakika tano niko stand
Nimegundua kila mtu ana mapungufu baby
Nimejifunza kukubali hali ndo tuishi baby

Umenizima kama moto wa kivuvu, mi dhamani sina
Umeniacha na makovu kila siku nalitaja jina
Nihurumie, nazimiss zile pipi chocolate
Oh nikaribie, mi mwenzako sijiwezi yo yo

Sikupenda penda nilidani kugombana
Na pia sikupenda vile tulivyoachana
Sikupenda penda nilidani kugombana
Na pia sikupenda vile tulivyoachana

Sikupenda penda nilidani kugombana
Na pia sikupenda vile tulivyoachana
Sikupenda penda nilidani kugombana
Na pia sikupenda vile tulivyoachana

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 0


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

LAMITHAH

Kenya

Lamithah is an artist from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE