Haki Za Watoto Lyrics
Haki za watoto zitimizwe
Wanalia, wanadhulumiwa
Watoto wanalia
Tusiwatese watoto tuwajenge
Na tuwashughulikie mtaani
Ya zamani yashapita tuangalie
Amani kote kwa watoto tusiwatumie
Tuwapende tuwahisi, ajali tuwajalie
Kwa shari tusiwatupe na pia kuwapuuza
Na wala kuwatusi tukisema hao ni looser
Kumbuka hao tu ni viongozi tu wa kesho
Wakilia wapanguze tu machozi kwa leso
Wanalia, wanadhulumiwa
Watoto wanalia
Wanalia, wanadhulumiwa
Watoto wanalia
Tushikane tuwasaidie
Watoto wapate haki zao
Tushikane tuwasaidie
Tushikane tuwasaidie
Watoto wapate haki zao
Tushikane tuwasaidie
(Eeh eh eh eh eh)
Tazama watoto wetu wanazama huku kwa dunia
Wengine wanacheka kuwaona kwenye njia
-- mpaka mabaya kuwafanyia
Ukimwi unawapata na magonjwa mengine pia
Watoto kuajiriwa kazi ngumu kufanyia
Wengine kutumiwa kwenye wizi hata pia
Hawaoni ni hatari shule kuwaharibia
Mambo haya si mazuri ni mabaya narudia
Waafrika tushikane tuweze kuwasaidia
Watoto hawa wetu wasije kuangamia
Mambo mengi wajifunze ya elimu na dunia
Tuanze kuwapenda wawe wakifurahia
Wanalia, wanadhulumiwa
Watoto wanalia
Wanalia, wanadhulumiwa
Watoto wanalia
Tushikane tuwasaidie
Watoto wapate haki zao
Tushikane tuwasaidie
Tushikane tuwasaidie
Watoto wapate haki zao
Tushikane tuwasaidie
(Eeh eh eh eh eh)
Malezi(Wapate)
Elimu(Wapate)
Afya bora(Wapate, wapate)
Kwa kucheza(Wapate)
Na ulinzi(Wapate)
Na upendo(Wapate, wapate)
Tushikane tuwasaidie
Watoto wapate haki zao
Tushikane tuwasaidie
Tushikane tuwasaidie
Watoto wapate haki zao
Tushikane tuwasaidie
(Eeh eh eh eh eh)
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2019
Album : Haki Za Watoto (Single)
Copyright : (c) 2019
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
JUALA SUPERBOY
Kenya
Juala Superboy is Kenya's youngest rapper and dancer. His rap skills made him be named the young ...
YOU MAY ALSO LIKE