Tufurahi Lyrics

Nimeshachumia juani
Ndani ya kivuli mi sina pesa mkononi
Bishara asubuhi asubuhi mahesabu jioni
Mahesabu ya nini?
Hapa tunatoa tunaweka, waiter
Tunaweka tunatoa, leta bill
Tunaandika tunafuta, tuna eeh
Hapa tunatoa tunaweka, waiter
Tunaweka tunatoa, leta bill
Tunaandika tunafuta, tuna eeh
Tufurahi, tufurahi
Tufurahi sote
Tufurahi, tufurahi
Tufurahi sote
Dunia hii tunapita tu
Hasara roho pesa makaratasi
Heshimu kila mtu
Enjoy your life
Niende wapi nibaki wapi
Naona time bado usiku huu mi silali
Hasira yangu kuzitafuta ili nitumie
Kiboko cha nini acha nikipasue
Hapa tunatoa tunaweka, waiter
Tunaweka tunatoa, leta bill
Tunaandika tunafuta, tuna eeh
Hapa tunatoa tunaweka, waiter
Tunaweka tunatoa, leta bill
Tunaandika tunafuta, tuna eeh
Tufurahi, tufurahi
Tufurahi sote
Tufurahi, tufurahi
Tufurahi sote
Hapa tunatoa tunaweka, waiter
Tunaweka tunatoa, leta bill
Tunaandika tunafuta, tuna eeh
Hapa tunatoa tunaweka, waiter
Tunaweka tunatoa, leta bill
Tunaandika tunafuta, tuna eeh
Tufurahi, tufurahi
Tufurahi sote
Tufurahi, tufurahi
Tufurahi sote
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : 20 (Album)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
LADY JAYDEE
Tanzania
Lady Jaydee also known as Binti Machozi, real name Judith Wambura is a recording artist from Tanzani ...
YOU MAY ALSO LIKE