Home Search Countries Albums

Hujanikomoa

KUSAH

Hujanikomoa Lyrics


Nafsi inasema subiri
Moyo unakataa nenda
Nimeziona dalili
Ipo siku nitadema

Maana kila yakidhiri
Yana jirudia tena
Mi mwenzio na dalili
Mimi siwezi kupona

Labda alinionaga mimi tahira
Sina mbele na sinaga dira
Akashindwa rudisha majira
Kasahau na zile fadhila

Labda si wewe 
Tulokula wote, mpaka tukasazaga
Labda si wewe 
Tulokuwa tukipendana na kuchezaga

Roza dunia mapito wowo
Nakuleza haya yatapita woo
Roza dunia mapito wowo
Nakuleza haya yatapita woo

Haya, mwenzako mimi hujanikomoa
Haya, ni kama akili umeifungua 
Haya, mwenzako mimi hujanikomoa
Ndo kwanza akili umeifungua mama

Kama penzi lingekuwa nguo
Ningelivua nikalitupa mbali mawe
Maana nimekosa hadi chaguo
Nimefanya mema ninapigwa mawe

Maajabu ya Musa
Fimbo kawa nyoka eti ananitisha
Na alisha nisusa
Nami nashukuru bora amenishusha

Ilipofika inabidi
Nizoee baridi wowoo
Leo nalitua penzi

Roza dunia mapito wowo
Nakuleza haya yatapita woo
Roza dunia mapito wowo
Nakuleza haya yatapita woo

Haya, mwenzako mimi hujanikomoa
Haya, ni kama akili umeifungua 
Haya, mwenzako mimi hujanikomoa
Ndo kwanza akili umeifungua mama

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2019


Album : Hujanikomoa (Single)


Copyright : (c) 2019


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KUSAH

Tanzania

Kusah is a musician from Tanzania. ...

YOU MAY ALSO LIKE