Nyonge Lyrics
Nyonge, nyonge
Nyonge, nyonge
Chunga wivu isikunyonge
Niko penthouse na mapengting
Ukuta ni texture na mapainting
Mi ndio nadaiana na hao madeni na
Noti tu tupu no mapeni
Tuliskia stori zako unaishi Buru
Chelewa kidogo utapiga nduru
Si umei na si unaishi SQ
Na si juzi tu ulisota waka kurescue
Wacha wivu iwanyonge design ya saida
Unanitusi na umekalia cyber
Mi sijidu kuna wale hunidu
You should see my point of view
Nyonge, chunga wivu isikunyonge
Nyonge, chunga wivu isikunyonge
Nyonge, chunga wivu isikunyonge
Nyonge, chunga wivu isikunyonge
Unajifanya hunioni kwani we Sho Madjozi
Hii ni blood sweat tears machozi
Kuna watu wakirauka daily ni king
Talk is cheap na bado hawana anything
Sidishi kwako silali kwako
Suprisingly hauna kwako
Ni manbo ya God tu na nia
Bado itawanyonga mara mia
Mtaiskia kwa mara pia
Udaku tu ati mara skia
Hapa sio kwako so sidemand key
Kama ni kunyongwa labda iwe monkey
Nyonge, chunga wivu isikunyonge
Nyonge, chunga wivu isikunyonge
Nyonge, chunga wivu isikunyonge
Nyonge, chunga wivu isikunyonge
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Happy Hour (EP)
Copyright : (c) 2021 Kaka Empire.
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
KING KAKA
Kenya
King Kaka born as Kennedy Tarriq Ombima in Eastlands Nairobi Kenya, is an Hip Hop Artiste from Kenya ...
YOU MAY ALSO LIKE