Corona Lyrics

Mmeambiwa mkae kwa nyumba na hamtaki
Before Corona iwa EX kama unga ya chapati
Wengi wenyu ni mapunda mangati
Ju sai maslayqueen kama Huddah wanaparty
Ulifanya mistake kunitaja
OG is a big brand not a Facebook trapper
And I'm not single so siwezi kutaka
Si juzi juzi tu ulikuwa unadate Mustafa
Self-quarantine ndo hamtaki ndo mko sai bar
Alcohol kwa system yangu sai ni sanitizer
Niko cautious utasema ninaringa
But nina majukumu na familia ninalinda
Wasanii wa Kenya hamnipendi, sijui mbona?
Au ni sababu vile mi huwaosha kwa mangoma?
Leta uzushi nitakuchoma, nyi mapussy mtanikoma
Mi hucheza undercover ka virusi za Corona
Nilikuwa juzi super mashopping nikitembea
Nikacheki fan flani from afar akanigotea
Akaanza kunisongea mikono akiniletea
I told him fuck off nigga, hio ugonjwa hutanipea
I know I'm rude but sijali boss
Mpaka sikupendi mi sikupendi siwezi kajiforce
And I'm selfish too hii game narun solo
Na kama nimewaboo, pia mnaeza unfollow
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Corona
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
KHALIGRAPH JONES
Kenya
Brian Robert Ouko better known as Khaligraph Jones is One of the most celebrated Hip Hop artists in ...
YOU MAY ALSO LIKE