Home Search Countries Albums

Nishikilie Cover (Jowie irungu)

KELECHI AFRICANA

Nishikilie Cover (Jowie irungu) Lyrics


Ewe Mola ndo unajua shida zangu
Hustle zangu za kila siku
Nakuomba unitoe kwenye mikono ya maadui
Amina

Nishike, nishi, nishikilie
(They call me Fleek boss)
Its a TK2 prodakshizzo

Mikosi mikosi taabani
Mimi siwezi bila wewe
Siwezi bila wewe yeyeye

Nishike, nishikilie
Mwamba ni salama
Mwamba ni salama

Nishike, nishikilie
Mwamba ni salama
Mwamba ni salama

Mwamba ni salama

Kila nichoomba we umenipa
Hata dua zangu we umeitika
Nitake nini zaidi yako?

Oooh Rabani 
Japo kuna wengi wananipigana
Oh Mola niepushe zao shari
Nitake nini zaidi yako? 

Rabani kila walipofunga wanifungua 
We ndo wangu beautifier
Palipo na kiza nitoe maanani
Ooh manani, why Lord

Na binadamu wabaya, why Lord?
And they don't wanna see my success, why Lord?
Wala hawaoni haya, why Lord?
Wanataka mi ni-suffer

Ee Mola niepushe na marafiki wanafiki
Wasotaka unibariki niondolee maanani

Nishike, nishikilie
Mwamba ni salama
Mwamba ni salama

Nishike, nishikilie
Mwamba ni salama
Mwamba ni salama

Ye ni mwamba
Mwamba ni salama
Mwamba ni salama

Nishike, nishikilie
Mwamba ni salama
Mwamba ni salama

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2020


Album : Nishikilie Cover (Jowie irungu) (Single)


Copyright : (c) 2020


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

KELECHI AFRICANA

Kenya

Kelechi Africana is a musician, singer, songwriter and producer from Kenya. ...

YOU MAY ALSO LIKE