Naamini Lyrics

Naamini oooh
(Still alive)
Haya mapito si ya bure
Najua nitauona mkono wako
Ushaona mwisho kutoka mwanzo
Chochote nahitaji ni ndani yako
Yesu, wewe ni mwaminifu
Haya mapito si ya bure
Najua nitauona mkono wako
Ushaona mwisho kutoka mwanzo
Chochote nahitaji ni ndani yako
Yesu, wewe ni mwaminifu
Jina lako lihimidiwe yeah
Tawala Baba milele
Naamini, Naamini, Naamini
Mtetezi wangu yu hai
Naamini, Naamini, Naamini
Yu hai, Yu hai, Yu hai, Yu hai
Mtetezi wangu anaishi leo
Yu hai, Yu hai, Yu hai
Yaliyo kusudiwa mabaya
Umegeuzia mema
Wewe ni mwaminifu
Jina lako lihimidiwe
Tawala Baba milele
Jina lako lihimidiwe
Tawala Baba milele
Naamini, Naamini, Naamini
Mtetezi wangu yu hai
Naamini, Naamini, Naamini
Yu hai, Yu hai, Yu hai, Yu hai
Jina lako lihimidiwe
Tawala Baba milele
Jina lako lihimidiwe
Tawala Baba milele
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2020
Album : Naamini (Single)
Copyright : (c) 2020
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
JOYCE OMONDI
Kenya
Joyce Omondi Waihiga is a gospel singer and songwriter who loves leading people in worshiping the Ki ...
YOU MAY ALSO LIKE