Unanikosha Lyrics

Baby zima taa tunapoianza hii sakata
Hapo hapo swadakta, nadata na huba lako
Tumba prakata rhumba chakacha, ai mbambata
Wanichezesha na kwaito
Baby nipe tena, tena
Niwe chachu ya birimbi
Unanibembeleza
Mwakipesi na sheringe
Niite niite hata ki-utani
Jaguar mwenyewe utaniita nani
Maneno yananitoka kinywani
Na sauti ni ya kudeka deka
Niite niite hata ki-utani
Jaguar mwenyewe utaniita nani
Maneno yananitoka kinywani
Na sauti ni ya kudeka deka
Unanikosha roho, unanikosha roho
Unanikosha roho, unanikosha roho
Najijua najijua
Nikipenda wivu unanisumbua
Tena unanishanigundua
Mi kwako najishebedua
Yaani mambo kwako sambamba
Nikiwa nawe niko salama
Kitandani mechi kandanda
Tunacheza kandanda
Niite niite hata ki-utani
Jaguar mwenyewe utaniita nani
Maneno yananitoka kinywani
Na sauti ni ya kudeka deka
Niite niite hata ki-utani
Jaguar mwenyewe utaniita nani
Maneno yananitoka kinywani
Na sauti ni ya kudeka deka
Unanikosha roho, unanikosha roho
Unanikosha roho, unanikosha roho
WATCH VIDEO
ABOUT THIS SONG
Release Year : 2021
Album : Unanikosha (Single)
Copyright : (c) 2021
Added By : Huntyr Kelx
SEE ALSO
AUTHOR
JOVIAL
Kenya
Jovial , whose real name is Juliet Miriam Ayub is a Kenyan entertainer, singer, songwriter, vocalist ...
YOU MAY ALSO LIKE