Home Search Countries Albums

Unanikosha

JOVIAL

Unanikosha Lyrics


Baby zima taa tunapoianza hii sakata
Hapo hapo swadakta, nadata na huba lako
Tumba prakata rhumba chakacha, ai mbambata
Wanichezesha na kwaito

Baby nipe tena, tena
Niwe chachu ya birimbi
Unanibembeleza 
Mwakipesi na sheringe

Niite niite hata ki-utani
Jaguar mwenyewe utaniita nani
Maneno yananitoka kinywani 
Na sauti ni ya kudeka deka

Niite niite hata ki-utani
Jaguar mwenyewe utaniita nani
Maneno yananitoka kinywani 
Na sauti ni ya kudeka deka

Unanikosha roho, unanikosha roho
Unanikosha roho, unanikosha roho

Najijua najijua
Nikipenda wivu unanisumbua
Tena unanishanigundua
Mi kwako najishebedua

Yaani mambo kwako sambamba
Nikiwa nawe niko salama
Kitandani mechi kandanda
Tunacheza kandanda

Niite niite hata ki-utani
Jaguar mwenyewe utaniita nani
Maneno yananitoka kinywani 
Na sauti ni ya kudeka deka

Niite niite hata ki-utani
Jaguar mwenyewe utaniita nani
Maneno yananitoka kinywani 
Na sauti ni ya kudeka deka

Unanikosha roho, unanikosha roho
Unanikosha roho, unanikosha roho

Enjoy Synced Lyrics With Our Mobile App

Download on Google PlayGet it on App Store

WATCH VIDEO

ABOUT THIS SONG


Release Year : 2021


Album : Unanikosha (Single)


Copyright : (c) 2021


Added By : Huntyr Kelx

SEE ALSO

AUTHOR

JOVIAL

Kenya

Jovial , whose real name is Juliet Miriam Ayub is a Kenyan entertainer, singer, songwriter, vocalist ...

YOU MAY ALSO LIKE